Wakazi wa Dar es Salaam wahaha shida ya maji na umeme

Wiki ya 3 sasa hakuna maji sehemu kubwa ya jiji. Jamaa mwenye dhamana anaendelea kuupiga mwingi tu kwenye vikao vya per diem!
 
Nenda Magufuli nenda, umemaliza kwa ushujaa, shujaa nenda!.

 
Majenereta yatakuwa yameagizwa wanataka yaishe kwanza wanavituko hao chukua chako mapema
 
Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, watumishi wa Mungu waliwakumbusha watawala kwa kunukuu maandiko matakatifu;

Mithali14:34

"Haki huinua taifa;
Bali dhambi ni aibu ya watu wote"

Lakini wao (CCM) hawakusikia zaidi ya kuiba kura mchana kweupe na hata kujitangazia ushindi wa kishindo. Sasa majanga ndiyo kwanza yaanza kuikumba nchi. Upungufu wa mvua, kinafuata upungufu wa huduma ya maji, upunguvu wa nishati ya umeme utegemeao mabwawa ya maji, kitafuata ukame na uhaba mkubwa wa chakula.



Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Shida ya maji haijawahi kwisha nchi hii
 
Mkuu usitoe no utapigwa kesi ya ugaidi
 
Maisha ni mbegu lazima siku moja itaota.
Makamba alipanda mbegu ya kumufelisha Magufuli Ili aonekane ni kiongozi mbovu.
Sasa ni zamu yake kuvuna alichopanda.

Umeme utaamua future yake.
 
Mtaani kwetu maji yapo 24/7...umeme pia....na ni haya haya maji ya Dawasa (ya bomba).
Dawasa imechukuwa visima vyote vya jumuiya za watumiaji maji mitaani na wameingiza kwenye mtandao wa mabomba ya Dawasa kwa baadhi ya maeneo.
Maji ya Ruvu yakikatika wanafungulia ya visima, huenda hapo mtaa wenu au kata mna mradi wa visima au kisima cha maji wanaunganisha kwenye mtandao wao, ni ngumu kwa wewe kulijuwa hili kama siyo mdau wa ndani sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…