Wakazi wa Dar es Salaam wahaha shida ya maji na umeme

Wakazi wa Dar es Salaam wahaha shida ya maji na umeme

Januari Makamba waziri wenu wa Nishati , yeye anachojua ni kupost mitandaon akiwa kwenye vikao vya kahawa na wale mabeberu wa Asia.

Baada ya kuhangaika kushughulikia masuala mtambuka ya ukosefu wa umeme
Huyo tangu day one nilishaona kama tayari kafeli tu na haiwezi hii wizara
 
Huyu waziri hamna kitu..kaenda kuteua washikaji zake Maharage..Mafuru..et al...ukimuona utasema mtu smart si ndio huyu....kumbe sinema tu
Hiyo ni team yake ya upigaji
 
Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.

Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.

Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji

Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu

Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.

Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana

CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?

Umeme uko wapi?
Ulianza vizuri, ila hapo ulipomalizia ndio umeonyesha ujinga wako wa machadema!! pambafffff!
 
Mama anatakiwa aliangalie hili kwasasa maji lita 1000 unaletewa kwa shilingi 50000 kabla ya hapo ilikuwa shilingi 15000
 
Dikteta uchwara ndio angeleta mvua?

Halafu wapinzani wameshaacha kuchelewesha maendeleo?

Kwani bunge la jiwe mpaka TBC si ni kijani sasa mnaonaje mkideal kivyenu au wenye kadi ya CCM maji na umeme wanapata free 24/7?
 
Maji na umeme ni biashara za watu.

Watu wanarudisha biashara zao kwa kuhonga dawasco wakate maji ili wao watuuzie na ma water boozer truck yao
Ni kama yalivyo malori....watu waliua reli makusudi miaka ya 90 wametengeneza hela balaa ..
 
Hawa jamaa walitaka kumfanya Magufuli kuwa Mungu
2925143_download_3.jpeg



kanyegrin.png
Bollacks
 
Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.

Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.

Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji

Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu

Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.

Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana

CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?

Umeme uko wapi?
😅😅ccm matapeli tu
 
Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.

Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.

Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji

Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu

Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.

Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana

CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?

Umeme uko wapi?
Business as usual
 
Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.

Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.

Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji

Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu

Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.

Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana

CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?

Umeme uko wapi?
Matatizo ya kuwa na watawala wachumia tumbo yapo mengi Sana. Bado tuna safari ndefu Sana.
 
Back
Top Bottom