Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 971
- 1,165
Mh..! ya kweli haya..Dawasa imechukuwa visima vyote vya jumuiya za watumiaji maji mitaani na wameingiza kwenye mtandao wa mabomba ya Dawasa kwa baadhi ya maeneo.
Maji ya Ruvu yakikatika wanafungulia ya visima, huenda hapo mtaa wenu au kata mna mradi wa visima au kisima cha maji wanaunganisha kwenye mtandao wao, ni ngumu kwa wewe kulijuwa hili kama siyo mdau wa ndani sanaa.
Kuhusu umeme wewe na MD wa Tanesco sijui nani kati yenu anayejuwa zaidi?Mtaani kwetu maji yapo 24/7...umeme pia....na ni haya haya maji ya Dawasa (ya bomba).
Hahaha haya mkuu...kwa hiyo hayo maji ya kisima yanakuwa haya hya ya Bomba? Sio Mbaya Mungu aendelee kutusimamia tupate huduma muhimu za kibinadamu[emoji120] na kote ambapo kuna changamoto atatue[emoji120]Dawasa imechukuwa visima vyote vya jumuiya za watumiaji maji mitaani na wameingiza kwenye mtandao wa mabomba ya Dawasa kwa baadhi ya maeneo.
Maji ya Ruvu yakikatika wanafungulia ya visima, huenda hapo mtaa wenu au kata mna mradi wa visima au kisima cha maji wanaunganisha kwenye mtandao wao, ni ngumu kwa wewe kulijuwa hili kama siyo mdau wa ndani sanaa.
Mimi najua, najua kwa uhalisia wa Mtaani kwetu.Kuhusu umeme wewe na MD wa Tanesco sijui nani kati yenu anayejuwa zaidi?
View attachment 1998434
View attachment 1998435
View attachment 1998436
Nenda Jehanam ukamuulize yule dhalim aliyetoa kauli hiyoWapinzani wamehusikaje hapa? Shenzi kabisa.
Kuna visima vina maji mazuri kuliko hayo yanayotoka ruvu, hayo maji ya ruvu usipoyatreat vizuri ni vichekesho hutoamini, ndio maana maji lazima uçhemshe au ununuwe maji chupa, huko duniani hawachemshi maji, unachota kwenye bomba unakunywa.Hahaha haya mkuu...kwa hiyo hayo maji ya kisima yanakuwa haya hya ya Bomba? Sio Mbaya Mungu aendelee kutusimamia tupate huduma muhimu za kibinadamu[emoji120] na kote ambapo kuna changamoto atatue[emoji120]
Sasa unabishana na mamlaka husika?Huo mgao wa maji wpi jama mbona kwetu maji kila siku yanatoka
Ohoooo!!!Januari Makamba waziri wenu wa Nishati , yeye anachojua ni kupost mitandaon akiwa kwenye vikao vya kahawa na wale mabeberu wa Asia.
Baada ya kuhangaika kushughulikia masuala mtambuka ya ukosefu wa umeme
Sio Dar tu kwenye shida ya maji na umeme. Dodoma hii niwiki ya pili hakuna maji mpaka tumevikumbuka visima vya zamani. Umeme ndio usiseme unakatika kila siku.Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Kanaigiza usmart sana, kumbe ni kapichu tuu,kajinga kale.Huyu waziri hamna kitu..kaenda kuteua washikaji zake Maharage..Mafuru..et al...ukimuona utasema mtu smart si ndio huyu....kumbe sinema tu
Hakika hakika.Maisha ni mbegu lazima siku moja itaota.
Makamba alipanda mbegu ya kumufelisha Magufuli Ili aonekane ni kiongozi mbovu.
Sasa ni zamu yake kuvuna alichopanda.
Umeme utaamua future yake.