Huyo tangu day one nilishaona kama tayari kafeli tu na haiwezi hii wizaraJanuari Makamba waziri wenu wa Nishati , yeye anachojua ni kupost mitandaon akiwa kwenye vikao vya kahawa na wale mabeberu wa Asia.
Baada ya kuhangaika kushughulikia masuala mtambuka ya ukosefu wa umeme
Wewe utakuwa dsm ya mkurangaHuo mgao wa maji wpi jama mbona kwetu maji kila siku yanatoka
Nanyie utakuta ndiyo mliongoza kuipigia kura nyingi ccmTuna mwezi hatujawahi pata tone la maji kwetu
Kama kuna ukame na kina cha maji kwenye mito kimeshuka Magufuli angefanya nini?Tukiongea kunampumbavu mmoja utasikia kasema " sukuma gang"
Hiyo ni team yake ya upigajiHuyu waziri hamna kitu..kaenda kuteua washikaji zake Maharage..Mafuru..et al...ukimuona utasema mtu smart si ndio huyu....kumbe sinema tu
Ni sawa na Sanjay DutyJanuari Makamba is a good actor
Ulianza vizuri, ila hapo ulipomalizia ndio umeonyesha ujinga wako wa machadema!! pambafffff!Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Sa si umeulizwa wapi??Tuna mwezi hatujawahi pata tone la maji kwetu
SiasaKama kuna ukame na kina cha maji kwenye mito kimeshuka Magufuli angefanya nini?
Ni kama yalivyo malori....watu waliua reli makusudi miaka ya 90 wametengeneza hela balaa ..Maji na umeme ni biashara za watu.
Watu wanarudisha biashara zao kwa kuhonga dawasco wakate maji ili wao watuuzie na ma water boozer truck yao
Umeshavuta hashish.Ufipa mafii yako?
Mbusii wewee!
😅😅ccm matapeli tuKufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Business as usualKufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Alifaa kuwa mmoja wa wale jamaa wa Three IdiotsNi sawa na Sanjay Duty
Matatizo ya kuwa na watawala wachumia tumbo yapo mengi Sana. Bado tuna safari ndefu Sana.Kufeli kwa serikali ya CCM sasa kumegonga pentagoni. Jiji la Dar es laam sasa limegeuka jiji la uhaba wa maji na umeme.
Kwenye ishu ya maji, kuna mgao wa siku tatutatu na maji yanatoka masaa machache kisha yanakatika.
Hali hiyo imefanya watu waanze kuhangaika na ndoo na madumu kutafuta maji
Tumerudi enzi zile za Mzee Mwinyi, jiji lilikuwa na uhaba wa maji wa kufa mtu
Wakati hayo yakiendelea, umeme nao umekuwa bidhaa adimu.
Waziri wa Nishati, yeye anatoa majibu rahisi kwa suala nyeti, eti zamani umeme ulikuwa haukatiki kwa sababu watu waliogopa kukata umeme wasifukuzwe kazi. Sasa kwa nini ssa hivi umeme usipatikane?, hoja ya maintenance ni hoja mfu kwa sababu nchi nyingine zinafanya maintenence na umeme unaendelea kupatikana
CCM walitwambia katiba mpya siyo hitaji la msingi bali hitaji la msingi ni maji, Sasa hayo maji yako wapi?
Umeme uko wapi?
Well Noted Mkuu...Maji na umeme ni biashara za watu.
Watu wanarudisha biashara zao kwa kuhonga dawasco wakate maji ili wao watuuzie na ma water boozer truck yao