Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Hahahahaha.kazi mnayo mwaka huuHata Iringa Ngome yenu saiv mnapata hao pekee??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha.kazi mnayo mwaka huuHata Iringa Ngome yenu saiv mnapata hao pekee??
Mtoto anafikia hatua ya kumtafutia bwana mama yake!! Kweli hakuna maadili huko.Wapo nyumba ndogo baada ya kupata mshiko. Si unajua CCM hakuna maadili.
Hawa hapa.Umesahau na kumuuliza akuonyeshe mafuso na ma power tilla
Hahahahaaa maono ya kishoga au, kama ana maono basi hata hiyo haki anayosema yeye sio wa kwanza kuileta hapa Tanzania kuna akina Nyerere wakawatoa makaburu hapa na tukapata haki sasa yeye haki gani ataleta.CCM ni baba jeni bai bai. Kwisha habari yenu!! Ninyi kaeni na wazee wa dini sisi tuna mbeba maono
Unadhani wanalazimishwa?
Subiri jogoo akiwika ndio mtajua simba ni nani?Babako kaongea miaka 5 yote je ana jipya?, Lissu kaja juzi tu mzee wa watu anachachawa!! Ooh mara wazee wa dini, mara wasanii......mwambie atulie siasa kupokezana kuongea...asije akamponza Mwenyekiti wa Tume yetu bure maskini, atulie Ngondoigwa ipigwe!!
5 yrs anaongea wewe tu wengine kimya, Leo hii ana jipya lipi zaidi ya madaraja na reli?
Na bado wacha kampeni zianze ataganda!!
Utadhani magunia ya viazi mbatata kutoka umalila mbeya
Labda simba wa burigiSubiri jogoo akiwika ndio mtajua simba ni nani?
CIA la tanzania leo iringaWape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli.
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Mkuu umeiva kwenye maandiko.Watu wa dini baadhi yao ndiyo wale wale waliomshitaki Yesu kwamba ni mchochezi...ati anachochea watu wasifanye kazi na wasilipe kodi..kwamba eti anazurura zurura tu.... haya ndiyo mashitaka yaliyompeleka pale msalabani kuwambwa..wala hakupewa nafasi ya kujitetea....ingawa mwenyesha mashitakawa wakati huo akagoma kutoa hati ya kifo akaamua kupeleka shauri kwa Gavana wa dola ya kirumi - Gavana. nayeye akagoma akasema sioni kosa la mtu huyu akanawa mikono yake mbele ya umati kwamba damu hiyo itakayomwagika isimuhusu yeye na kizazi chake na kugoma kabisa ku-sign dearth sentence ila wao wazee wa DINI wakawachochea wananchi kuchukua hatua mikononi Akauawa kifo va aibu....end of kwa ukombozi wetu!!
Key point: Makuhani ama Wakuu wa dini.
Mpaka hapo wewe ni Lumumba fc. Huwa mnaona aibu kujitaja mnaishia kusema hamna chama.Ili tuwe tunabishana tu hata kwenye ukweli na mambo ya kipumbavu siyo?
Sina Chama Ila ni mfuasi mzuri wa mtu mmojammoja, wale wote wenye akili njema, haijalishi wako Chama gani
Hiki kisa kinashabihana na kisa cha TL hakika Mungu wa mbinguni ambariki LissuWatu wa dini baadhi yao ndiyo wale wale waliomshitaki Yesu kwamba ni mchochezi...ati anachochea watu wasifanye kazi na wasilipe kodi..kwamba eti anazurura zurura tu.... haya ndiyo mashitaka yaliyompeleka pale msalabani kuwambwa..wala hakupewa nafasi ya kujitetea....ingawa mwenyesha mashitakawa wakati huo akagoma kutoa hati ya kifo akaamua kupeleka shauri kwa Gavana wa dola ya kirumi - Gavana. nayeye akagoma akasema sioni kosa la mtu huyu akanawa mikono yake mbele ya umati kwamba damu hiyo itakayomwagika isimuhusu yeye na kizazi chake na kugoma kabisa ku-sign dearth sentence ila wao wazee wa DINI wakawachochea wananchi kuchukua hatua mikononi Akauawa kifo va aibu....end of kwa ukombozi wetu!!
Key point: Makuhani ama Wakuu wa dini.
Mpaka hapo wewe ni Lumumba fc. Huwa mnaona aibu kujitaja mnaishia kusema hamna chama.
Ewalaaa sasa ulikuwa unajificha nini. Njaa kichwaniMimi ni Lumumba (CCM) unataka kusemaje sasa!
Ni hicho tu ulichotaka uniambie Pindi nikisema Mimi ni CCM,Ewalaaa sasa ulikuwa unajificha nini. Njaa kichwani
Sahihi kabisa hapa ni Mikumi. Watu wote hawa JPM atapiga kampeno gani kuwashawishi??Acheni maccm YAWAWESESEKE.