Uchaguzi 2020 Wakazi wa Iringa wajitokeza kumpokea Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Wakazi wa Iringa wajitokeza kumpokea Tundu Lissu

Zanzibar tuliambiwa hapa kaenda na kweli alienda Ila kilichomkuta kule Chadema waliamua kupotezea ni aibu na hata waleta mada za Lisu kwenda Zanzibar waliingia mitini kwa aibu.
Acha uongo safari ya zanzibar uliiona wapi?

Usicheze na inteligensia ya Lissu. Ni mithiri ya CIA. Leo ulijua kama yuko Iringa?
 
Kinachouma zaidi ni pale mtu ulikuwa unakusanya watu lundo kwenye kampeni, siku ya siku unakuja kupigwa na kugalagazwa vibaya, huwa inauma Sana

Kinachowafanya wanasiasa watangaze mapema eti uchaguzi utakuwa mgumu na usioeleweka na kwamba eti wanapendwa Sana, ni Kwa sababu ya watu kwenda kusikiliza kile wanasema, wengine kwenda kushangaa tu, na wengine kama mimi, kwenda kuangalia miujiza ya Mungu Kwa mgombea wa Chadema, jinsi Mungu alivyomtendea

Wanasahau kwamba Siku ya kupiga Kura inakuwa ni Siri ya mtu, hichi ndicho huwa wanajisahau hasa wajinga wachache humu, hushughurika na kusherehekea wingi wa mkusanyiko wa watu badala ya kusherehekea siku ya ushindi

Nyie sherehekeeni huo ujinga, wenzenu watasherehekea ushindi
 
Kabakiza mbeya tu kwishakazi, kwingine ataambulia mawe
Wajaribu tutawabikili kwa tindo maana wale wajinga tuliwaacha tu but I swear warudie tena wataenda kusimuliana mortury.
 
Kinachouma zaidi ni pale mtu ulikuwa unakusanya watu lundo kwenye kampeni, siku ya siku unakuja kupigwa na kugalagazwa vibaya, huwa inauma Sana

Kinachowafanya wanasiasa watangaze mapema eti uchaguzi utakuwa mgumu na usioeleweka na kwamba eti wanapendwa Sana, ni Kwa sababu ya watu kwenda kusikiliza kile wanasema, wengine kwenda kushangaa tu, na wengine kama mimi, kwenda kuangalia miujiza ya Mungu Kwa mgombea wa Chadema, jinsi Mungu alivyomtendea

Wanasahau kwamba Siku ya kupiga Kura inakuwa ni Siri ya mtu, hichi ndicho huwa wanajisahau hasa wajinga wachache humu, hushughurika na kusherehekea wingi wa mkusanyiko wa watu badala ya kusherehekea siku ya ushindi

Nyie sherehekeeni huo ujinga, wenzenu watasherehekea ushindi

Binadamu banaa wangefika watu kiduuchuuu kama juzi kwa Lipumba mngemaindi, sasa kakusanya kijiji/nyomi la kufa mtu tokea saa 5 asubuhi bado unapanua domo kama kiboko daah.
 
Binadamu banaa wangefika watu kiduuchuuu kama juzi kwa Lipumba mngemaindi, sasa kakusanya kijiji/nyomi la kufa mtu tokea saa 5 asubuhi bado unapanua domo kama kiboko daah.
Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, 😄😄😄 Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo.

Ila ukweli niloandika utaishi milele, wewe kusanya watuu weee, mwisho wa siku, hao uliowakusanya ndio majaji wako, kukusanya watu, siyo kusherehekea, Bali sherehe ni ushindi, na Naamini, wenzao watasherehekea ushindi na
 
Hahaha safi sana. Napata raha sana. Lissi go baba go. MUNGU yuko pamoja nawe.
Watu wa dini baadhi yao ndiyo wale wale waliomshitaki Yesu kwamba ni mchochezi...ati anachochea watu wasifanye kazi na wasilipe kodi..kwamba eti anazurura zurura tu.... haya ndiyo mashitaka yaliyompeleka pale msalabani kuwambwa..wala hakupewa nafasi ya kujitetea....ingawa mwenyesha mashitakawa wakati huo akagoma kutoa hati ya kifo akaamua kupeleka shauri kwa Gavana wa dola ya kirumi - Gavana. nayeye akagoma akasema sioni kosa la mtu huyu akanawa mikono yake mbele ya umati kwamba damu hiyo itakayomwagika isimuhusu yeye na kizazi chake na kugoma kabisa ku-sign dearth sentence ila wao wazee wa DINI wakawachochea wananchi kuchukua hatua mikononi Akauawa kifo va aibu....end of kwa ukombozi wetu!!

Key point: Makuhani ama Wakuu wa dini.
 
Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, 😄😄😄 Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo

Ila ukweli niloandika utaishi milele, wewe kusanya watuu weee, mwisho wa siku, hao uliowakusanya ndio majaji wako, kukusanya watu, siyo kusherehekea, Bali sherehe ni ushindi, na Naamini, wenzao watasherehekea ushindi na
Emb niweke wazi, wewe ni mwanachama wa CCM?
 
Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, 😄😄😄 Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo

Ila ukweli niloandika utaishi milele, wewe kusanya watuu weee, mwisho wa siku, hao uliowakusanya ndio majaji wako, kukusanya watu, siyo kusherehekea, Bali sherehe ni ushindi, na Naamini, wenzao watasherehekea ushindi na

Kwa lugha nyingine ndiyo unatukumbusha bao la mkono la yule kijana wa Mtama siyo? Kwamba Votes don't count, what determine the victory is he who count the votes siyo?? Huwezi kuniambia angani kukiwa na wingu zitooo jeusii tiii maana yake muda si mrefu mji utajaa vumbi....
 
Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Kwa bahati mbaya sana binadamu ana hulka ya kutaka kusikia vitu na mambo mapya.

CCM na Magufuli na Serikali yake hakuna neno walilobakiza kwa miaka yote kufanya siasa peke yao.

Wapinzani wana mambo mengi sana mapya na pia viongozi hawajazunguka.

Kwa tathmini yangu tarajia tofauti na mawazo yako.
 
Back
Top Bottom