uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Kipi aswa cha kuwakondesha?Lazima watu wakonde!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi aswa cha kuwakondesha?Lazima watu wakonde!
Aisee chadema wanashambulia zaidi ya corona, Tanga gafla iringa do ongera sana mmejipanga Chadema sana, kimbunga 2020Wape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli.
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Si haba!
Happi na Kasesela wanafeli wapi bwashee?
Baba fulani leo atakesha anasonya na kuongea kizungu pekee yakeWape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli.
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Mtajaza hizo boxer zenu vitu vyenye harufu chafuHata Iringa Ngome yenu saiv mnapata hao pekee??
Tatizo hajiamini na sababu yake ni ule usemi wa msawahili usemao... MWIBA UTOKEA PALE ULIPO INGILIA.Akiona hivi kesho utaona waganga wa kienyeji wameagizwa kutoa tamko la kuunga juhudi
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Watalazimisha kuombewa muda siyo mrefuLazima watu wakonde!
Sasa hivi wamekwisha dataUpindhani umekuva! Wameelewa madhuri ya mweshimiwa. Li Ethijiara rote rire na dhahanati 400
Sipati picha ya yule mropokaji wao mwenye sura ya kizee lkn umri ni kijanahuku viunga vya Lumumba pivyu vimebana!
Amina na tuzidi kumuombea mh LissuMungu akutangulie kokote unakopita. AMINA
Kura atapata na atakuwa Rais. Hutaki acha.Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha??? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Gambo alishasema kuwa UVCCM wote ni wanafiki na wakizeeka lazima mtakuwa wachawi.Kabakiza mbeya tu kwishakazi, kwingine ataambulia mawe
Mataga wameshakubali somo. Maana hakuna namna tena.lissu twende kazi, mataga huwaoni hapa, watakuja badae sana kwenye pg ya 588
Picha ya 2015Mbona Lisu mwenyewe haonekani?
Hahahaaaa....... Isije kuwa ni mkutano wa Lowassa!
Halijitambui hilo tagahizi sio kampeni wewe,ni watu wamesimamisha msafara
Hahaha safi sana. Napata raha sana. Lissi go baba go. MUNGU yuko pamoja nawe.CCM ni baba jeni bai bai, kwisha habari yenu!! Ninyi kaeni na wazee wa dini sisi tuna mbeba maono.
Heheeee!
Umesahau na kumuuliza akuonyeshe mafuso na ma power tillaUmeona kuna shehena ya Wasanii wa Bongo fleva hapo Boss?
Tupe idadi ya wadhamini leo lazima watafika 15,000hii siyo kampeni mkuu , ni kusaka wadhamini