Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.Mwambie meko akafanye kampeni bila wasanii tuone Kama atapata ata watu 50
Lisu kawapiga upofu hamjui wap muelekee mmekusanya wasanii 200 na bado mtaliwa kichwa tu.