Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
28th October 2020Lazima watu wakonde!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
28th October 2020Lazima watu wakonde!
Nilitaka kuona unafiki wako tu. Nimekufosi mpaka umejisema mwenyewe.Ni hicho tu ulichotaka uniambie Pindi nikisema Mimi ni CCM,
Mmeanza kampeni mapemaWape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli. Upendo wa kweli kutoka moyoni, hawakuchoka kumsubiri
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Hii inaitwa kukata tamaa28th October 2020
False expectations; Lissu hapo alipo hajawahi kuvuta umati uliokuwa unavutwa na Lowassa, Slaa na Mrema. Subiri filimbi ya mwisho; Tanzania ina watu milioni sitini; siyo elfu moja moja unayokuwa unaona hapo. Halafu hiyo ni wakati ni yeye tu ndiye anayepita na kujianadi wakati wenzie hawajaanza gemu.Hii inaitwa kukata tamaa
Jamaa ameshachuja hata kabla ya kipyenga kupulizwa.False expectations; Lissu hapo alipo hajawahi kuvuta umati uliokuwa unavutwa na Lowassa, Slaa na Mrema. Subiri filimbi ya mwisho; Tanzania ina watu milioni sitini; siyo elfu moja moja unayokuwa unaona hapo. Halafu hiyo ni wakati ni yeye tu ndiye anayepita na kujianadi wakati wenzie hawajaanza gemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upindhani umekuva! Wameelewa madhuri ya mweshimiwa. Li Ethijiara rote rire na dhahanati 400
Lissu hakodi Mafuso hao uaowaina ni watanzania wanaotaka kubadilisha nchi hii fo the betterHivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Kijana naona hulali bila valium na mataputapu ya bukuJamaa ameshachuja hata kabla ya kipyenga kupulizwa.
Hapo hakuna aliyearikwa/aliyebebwa na lori ila ni mapenzi yao tu!!! Upande ule wanaumia sanaaa!! Inaamana hawa hawaoni maendeleo anayofanya jiwe?!!!Wape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli. Upendo wa kweli kutoka moyoni, hawakuchoka kumsubiri
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Unafikiri ukiniita kijana unanipunguzia nini wewe dogo?Kijana naona hulali bila valium na mataputapu ya buku
Hoja zako zinazidi kuwa za kipuuzi haswa jina la Lissu linapotajwaUnafikiri ukiniita kijana unanipunguzia nini wewe dogo?
Wewe ni mtoto mdogo tu, hata usemeje. Hiyo haikusaidii, unasikia?Hoja zako zinazidi kuwa za kipuuzi haswa jina la Lissu linapotajwa
Umepoteza kabisa muelekeo umkuwa sawa na akina alumni bia yetu
Vizuri sanaLissu kazuiwa njiani bwashee atafika hapa soon! Vijana wa Chadema tupo imara.
Tembelea kule kwa Godlisten Malisa uone kafanikiwa kuchangisha Tshs milioni 75 ndani ya siku chache
Bwashee Acha banaa Yaani Swahiba wangu Hapi hasalimiani na Kaka yetu Dindili?!!!Ulitaka wafanye ya Sabaya bwashee. Mimi Sabaya nina ushahidi wa wazi kuwa ni mvuta bangi na genge lake ninawajua wote! Happi havuti bangi na mbaya zaidi anajenga makundi ndani ya CCM! Happi na Ridhiwani hawasalimiani bwashee.