Soko ndio linapanga auzeje na serikali itasimamia mapato yake yahayohusika tu kutoka kwa mnunuzi,mkulima atadeal na Chama chake cha Ushirika,upo?
Mkuu lini mmemsaidia mkulima wa nchi hii? Price topup kwenye biashara unafahamu ni kitu gani? Kwa nini mbolea ni tatizo au inapelekwa msimu wa kilimo ukiwa umeisha?