Siku Hayati John Pombe Joseph Magufuli anazindua Stand kuu ya Mabasi iliyopo Mbezi Louis katika mambo aliyowaahidi wakazi wa Mbezi na Kibamba ni pamoja na Kujenga barabara za Mpiji na Makabe kwa kiwango cha lami.
Siku hiyo aliongea kwa kumaanisha kuwa utekelezaji wake ungeanza mapema tu. Nadhani baada ya ziara hiyo alielekea Ubungo kufungua Flyover (Interchange) na hazikupita siku nyingi akamaliza Mwendo wake ktk Dunia hii.
Ninachoamini ni kwamba angekuwepo ni dhahiri suala la ujenzi wa Barabara hizo ungeshaanza leo hii. Ninamini hivi kwasababu JPM ALIKUWA AKIAHIDI JAMBO LAZIMA AHAKIKISHE LINAFANYIKA.
HAKIKA WAKAZI WA MBEZI NA KIBAMBA WANAKUKUMBUKA SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUWALETEA STAND YA KIMATAIFA.
HATA HIVYO MAMA YETU NI MSIKIVU NINAAMINI ATAFANYA JAMBO KAMA TUNAVYOONA ANAVYOIJENGA NCHI
Siku hiyo aliongea kwa kumaanisha kuwa utekelezaji wake ungeanza mapema tu. Nadhani baada ya ziara hiyo alielekea Ubungo kufungua Flyover (Interchange) na hazikupita siku nyingi akamaliza Mwendo wake ktk Dunia hii.
Ninachoamini ni kwamba angekuwepo ni dhahiri suala la ujenzi wa Barabara hizo ungeshaanza leo hii. Ninamini hivi kwasababu JPM ALIKUWA AKIAHIDI JAMBO LAZIMA AHAKIKISHE LINAFANYIKA.
HAKIKA WAKAZI WA MBEZI NA KIBAMBA WANAKUKUMBUKA SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUWALETEA STAND YA KIMATAIFA.
HATA HIVYO MAMA YETU NI MSIKIVU NINAAMINI ATAFANYA JAMBO KAMA TUNAVYOONA ANAVYOIJENGA NCHI