- Thread starter
- #21
Tatizo watendaji sasahivi sio waoga kabisa. Na hawa ndio wanaomharibia Mama. Natamani Mama awe Mkali kwasababu nature ya mtu mweusi akiona hakuna FIMBO nyuma yake anafanya ujinga atakavyo.Njia ya makabe naskia lilitengwa fungu kabisa la kujenga kilomita kama 7. Baadae wakahamisha fungu kwingine walichokifanya makabe wakatengeneza kipande korofi cha km 1 kwa kiwango cha lami uchwara.
Maji maeneo ya makabe, msakuzi kwa kiperanya, msumi wamesambaza mabomba sasa inaelekea miaka miwili ila maji hayatoki hadi leo.
JPM alikuwa na mapungufu yake lakini ktk mazuri aliyokuwa nayo ni pamoja na kujenga nidhamu kwa watendaji wa serikali. TUANGALIE TU JINSI BARABARA YA GOBA ILIVYOJENGWA KWA VIWANGO NI KWASABABU WATU WALIOGOPA KULETA UJANJAUJANJA