red apple
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 778
- 1,212
Tukasema labda yeye akiwa mbunge, tutajengewa barabara lakini wapiii!!!!!!Si mna mbunge makini Gwajima??🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukasema labda yeye akiwa mbunge, tutajengewa barabara lakini wapiii!!!!!!Si mna mbunge makini Gwajima??🤣🤣
Ccm ni ile ileTukasema labda yeye akiwa mbunge, tutajengewa barabara lakini wapiii!!!!!!
Pole sana ndugu. Msijenge tena barabarani. Huoni Sasa jinsi kulivyopendeza.Na wa kimara pia aliowabomolea watamkumbuka
Uongo . Kila mradi una kipindi chake cha kuanza na kuisha . Kwani alipokuwepo huyo chizi magufuli wachina walikuwa hawavuti fegi?So sad huko wachina wanashinda wanavuta fegi na kula kitimoto tu
USSR
Fedha zake zimetumika kuwahamisha wamasaiSiku Hayati John Pombe Joseph Magufuli anazindua Stand kuu ya Mabasi iliyopo Mbezi Louis katika mambo aliyowaahidi wakazi wa Mbezi na Kibamba ni pamoja na Kujenga barabara za Mpiji na Makabe kwa kiwango cha lami.
Siku hiyo aliongea kwa kumaanisha kuwa utekelezaji wake ungeanza mapema tu. Nadhani baada ya ziara hiyo alielekea Ubungo kufungua Flyover (Interchange) na hazikupita siku nyingi akamaliza Mwendo wake ktk Dunia hii.
Ninachoamini ni kwamba angekuwepo ni dhahiri suala la ujenzi wa Barabara hizo ungeshaanza leo hii. Ninamini hivi kwasababu JPM ALIKUWA AKIAHIDI JAMBO LAZIMA AHAKIKISHE LINAFANYIKA.
HAKIKA WAKAZI WA MBEZI NA KIBAMBA WANAKUKUMBUKA SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUWALETEA STAND YA KIMATAIFA.
HATA HIVYO MAMA YETU NI MSIKIVU NINAAMINI ATAFANYA JAMBO KAMA TUNAVYOONA ANAVYOIJENGA NCHI
HahahaFedha zake zimetumika kuwahamisha wamasai
Rais hawezi fanya Kila kitu, hao wabunge 100% ni CCM na Halmashauri zote za hapa Dar zipo chini ya CCM ambao karibu wote waliingia kwa endorsement ya JPM.Kwa kweli JPM tutamkumbuka sana.Alikuwa akisema kitu kinatekelezwa.Siyo kama awamu hii ya kila siku kusafiri nje.yaani unasafiri kwenda kukopa pesa na unazimaliza tena kwa safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi akisema kitu kinatekelezwa kwa haraka kuliko mbunge kutokana na katiba yetu ilivyo.wabunge waliowahi kutawala huko(kibamba)walishayaongelea sana haya matatizo ya barabara,maji pamoja na huduma zingine.Kipindi cha ufunguzi wa hiyo stendi ya magufuli,rais alielekeza(Magufuli)utekelezaji wa miradi ya barabara,umeme na maji na utekelezaji ulianza siku chache baada ya yeye kusema.Alipofariki tu na utekelezaji ukasitisha.Mbunge hapo hana kosa.Rais hawezi fanya Kila kitu, hao wabunge 100% ni CCM na Halmashauri zote za hapa Dar zipo chini ya CCM ambao karibu wote waliingia kwa endorsement ya JPM.
Sasa basi..... Ni legacy Gani aliyoacha magufuli kama viongozi wote aliowapitisha wanashindwa kutekeleza ahadi za CCM kwa wananchi?
Nasema hivi Mama Samia awanyime barabara Ili akili ziwakae vizuri next time mchague wabunge na madiwani wenye uzalendo sio wapiga makofi tu.
Aliahidi vitu viwili lami na majiSiku Hayati John Pombe Joseph Magufuli anazindua Stand kuu ya Mabasi iliyopo Mbezi Louis katika mambo aliyowaahidi wakazi wa Mbezi na Kibamba ni pamoja na Kujenga barabara za Mpiji na Makabe kwa kiwango cha lami.
Siku hiyo aliongea kwa kumaanisha kuwa utekelezaji wake ungeanza mapema tu. Nadhani baada ya ziara hiyo alielekea Ubungo kufungua Flyover (Interchange) na hazikupita siku nyingi akamaliza Mwendo wake ktk Dunia hii.
Ninachoamini ni kwamba angekuwepo ni dhahiri suala la ujenzi wa Barabara hizo ungeshaanza leo hii. Ninamini hivi kwasababu JPM ALIKUWA AKIAHIDI JAMBO LAZIMA AHAKIKISHE LINAFANYIKA.
HAKIKA WAKAZI WA MBEZI NA KIBAMBA WANAKUKUMBUKA SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUWALETEA STAND YA KIMATAIFA.
HATA HIVYO MAMA YETU NI MSIKIVU NINAAMINI ATAFANYA JAMBO KAMA TUNAVYOONA ANAVYOIJENGA NCHI
Mara nyingi kukimbia hutegemea anayekukimbiza. Leo hii jaffo wa samia sio yule jaffo wa magufuli, ummy wa samia sio yule ummy wa magufuli wizara ya ardhi ya samia sio ile ya magufuli, hata miradi ya samia sio ile ya magufuli kwa kiwango na spidi.Rais hawezi fanya Kila kitu, hao wabunge 100% ni CCM na Halmashauri zote za hapa Dar zipo chini ya CCM ambao karibu wote waliingia kwa endorsement ya JPM.
Sasa basi..... Ni legacy Gani aliyoacha magufuli kama viongozi wote aliowapitisha wanashindwa kutekeleza ahadi za CCM kwa wananchi?
Nasema hivi Mama Samia awanyime barabara Ili akili ziwakae vizuri next time mchague wabunge na madiwani wenye uzalendo sio wapiga makofi tu.
Wewe umemuona wapi akiililia?Barabara ya Msakuzi kwasababu ya Wingi wa Magari Tanroads wakikarabati wiki mbili inaharibika si bora hayo Mamilioni waanze na Lami kidogokidogo,hii akili nayo hadi waelekezwe na Rais?Sehemu nyingi tu wanaamini angekuwa hai mambo yakekuwa mbali sana.
Kuna maeneo yalishawekewa hadi mabomba ya maji ila maji hayataki yakiwemo maeneo ya kigamboni, makabe, Goba na Msakuzi.
Hiyo barabara Mbunge wa Kibamba anaililia kila siku.
Amelia bungeni na kwenye vikao.Wewe umemuona wapi akiililia?Barabara ya Msakuzi kwasababu ya Wingi wa Magari Tanroads wakikarabati wiki mbili inaharibika si bora hayo Mamilioni waanze na Lami kidogokidogo,hii akili nayo hadi waelekezwe na Rais?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni muda wa kulamba asali kwa urefu wa kamba...muda wa maendeleo ushapita, na aliepata kapata aliekosa kakosa...poleni sana bandugu.View attachment 2284212
Hivi kichwani kuko sawa kweli. Mfumo unakuwa hauna msimamizi unajiendesha wenyewe.Ndio maana tunahitaji mfumo na si mtu awe anaamua kufanya anavyojisikia, sasa kafa twalia lia
KATIBA Mpya muhimu sana