Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Ha haa! Ningepewa wizara ya ujenzi, 'ndani ya wiki moja', bara bara zote zingekuwa na lami. 😎
Nina uwezo (technical know how) wa kujenga km 1, ya lami kwa gharama isiyozidi Tsh mil 120! If u can imagine...
With an annual budget of 200B, kila mkoa ungeweza kupata km 64 za lami kwa mwaka and within 5 yes kila mkoa ungepata km 300 za lami...
Nina uwezo (technical know how) wa kujenga km 1, ya lami kwa gharama isiyozidi Tsh mil 120! If u can imagine...
With an annual budget of 200B, kila mkoa ungeweza kupata km 64 za lami kwa mwaka and within 5 yes kila mkoa ungepata km 300 za lami...