Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali.Ni watu wa mila,matambiko,miiko.madawa ya mapenzi,nk
Na ogopa sana watu wa makanisani na misikitini mchawi anaenda huko kwa kinga ili mkimsema ni mchawi apate watu wa kumteteaNa kuna uwezekano mkubwa sana kwamba wachawi wengi hapa Tanaznia nao walishakimbilia makanisani kwenda kujificha humo; kwa kweli tuna hali mbaya mno!
Karagwe nao wako vizuri kwenye malimbwataNakubali.
Kuna dada alifanyiwa madawa muda huu yupo karagwe hajitambui
Ndago hiyo mkuu,ukipewa masharti yake utakimbia mwenyeweKule uchawi wao ni wa kutafuta pesa tu kukuta kijana mdogo ana gari za kutosha hiyo ni kawaida tu
Duh!Gilman Rutihinda hakuwahi kuwa gavana Bali alikuwa waziri wa fedha
Ni kweli mkuu mi nimeishi nkwenda huko kuna ndago za hatari wenyeww wanaita freemason japo ni ndago tuIsiombe ukakutana na watu wa Karagwe,kykerwa,Muleba wengi wao utajiri na elimu zao wanazipata kutumia uchawi in short uwezi jua mpaka uwe na jicho la tatu
Ww umekataa mila zako unafuata mila za waarabu na warumiNi watu wa mila,matambiko,miiko.madawa ya mapenzi,nk
Kuna jamaa yupo Karagwe stand ya omurushaka mda wote kanyoa kipara na kanisani wakamfukuzaNdago hiyo mkuu,ukipewa masharti yake utakimbia mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwamba nilisoma nae yupo nkwenda aliacha shule Form 1 sasa hivi anapesa hatariNi kweli mkuu mi nimeishi nkwenda huko kuna ndago za hatari wenyeww wanaita freemason japo ni ndago tu
Ndago hizo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwamba nilisoma nae yupo nkwenda aliacha shule Form 1 sasa hivi anapesa hatari
Ripoti imetoka mkoa wa kagera wa mwisho kwa umasikiniKule uchawi wao ni wa kutafuta pesa tu kukuta kijana mdogo ana gari za kutosha hiyo ni kawaida tu
ShuntamaKimbwata yao inaitwa "chuntama"
[emoji2][emoji2]Kuna jamaa yupo Karagwe stand ya omurushaka mda wote kanyoa kipara na kanisani wakamfukuza
Sio Kagera tu, inshot Tanzania inaongoza kwa uchawi Africa ikifatiwa na Malawi na Msumbiji kwa mbali. Nigeria cha mtoto
Atakuwa anaitwa kipara huyo(siyo kipara kipya)na ni nadhifu kwa mavazi![emoji2][emoji2]