madem wa kenya ni weusi mno,Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
Hata sasa hivi Tanzania ndio inaongoza kwa kutembelewa na watalii wengi na kupata pesa nyingi zaidi kwenye utalii.Laiti kama English ingekuwa first language apa Nchini au tu ipewe kipaumbele leo, Tz ingekuwa most visited country E.A
mmmhWakenya badilikeni bwana
Kuna jamaangu alisoma Uganda akaniambia unashangaa hawa wakenya ukienda Uganda ndo utakoma.nilishangaa sana tujipongeze kwakweli watanzania tunafahamu mapishi matam tamUngeenda Uganda au Rwanda sijui ungeandika nn, Uganda vyakula vinachanganywa, ukiagiza chakula utawekewa matoke ugali, magimbi na wali kwny sahani moja, hawauzi chakula cha aina moja.(kwa rrstourant za kawaida hotel kubwa sina uhakika)
Rwanda wao tatizo uchafu, acheni utani hao watu usafi ni cheche!!
No English no service, tehNilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
[emoji23] [emoji23]w
wako busy kupiga waume zao huko
Wakenya habari zenu
Hivi majuzi nilikuwa sehemu moja inaitwa bondo kisumu huko tumepata mwanamke kwa kweli nilifurahia sana mazingira ya huko ikiwa ni pamoja na miundo mbinu ya Barabara.
Shughuli ilikuja kwenye chakula sikufurahishwa kabisa na upishi wa vyakula vyenu hii hata Nairobi nimeiona .jifunzeni kupika bana
hahahahaha, daaah wakenya noma huu msosi amazingWakenya badilikeni bwana ndio msosi gani huu sasa
Dah..... Gande[emoji12] [emoji12]ni mahindi mabichi na maharage?
hahahahaIv ujue wabongo tunajiongeza kwa vitu ving sana mpk vngine kwa wagen wengine vnawakera yan... Ila kwa mengine mengine kam ayo hatujaaambo... Barabaraa yan!
And i am beholderBeauty is in the eye of the beholder.