Hawajui kupika kabisa aisee. Ilitubidi kuingia town kuangalia utaratibu wa kupata snacks kwene supermarketHahahahahahaha lol! ulikula chakula gani Mkuu? Bokoboko? Ila kusema kweli vyakula vyetu Wabongo bomba sana na wanawake wa kibongo kukkangiza mahanjumati wanaweza sana. Umeshawahi kuona misosi ya kisomali? Ina mafuta ya kuchuruzika nina marafiki zangu wa kutoka huko huwa nawatolea nje kwenye vyakula vyao.
Hawajui kupika kabisa aisee. Ilitubidi kuingia town kuangalia utaratibu wa kupata snacks kwene supermarket
Ndizi zimepikwa vibaya sana wamechanganya sijui na Samaki harufu mbaya chakula kinanuka nilipiga kijiko kimoja tu nikasogea pembeni. Wenzangu wakajikaza aaah wapi wakashindwaMkuu hujasema lakini ulikula chakula gani lol! hahahahaha au hujui ulikula nini Mkuu?
Ndizi zimepikwa vibaya sana wamechanganya sijui na Samaki harufu mbaya chakula kinanuka nilipiga kijiko kimoja tu nikasogea pembeni. Wenzangu wakajikaza aaah wapi wakashindwa
Lakin watt wakali wote wanatokapande za kaskazini hakuna mapishi kabisa hata wachaga wamejua kupika juzijuzi tu hapa nao ilikuwa majanga
True kuna plot nliwah kuish Nairobiila wanawake wakenya ni wakatili sana sijui kama kuna mwanaume wa kenya anaenjoy ndoa yake .ni wababe sana hawana adabu .jeuri ,hawana heshima hata tone
Mkuu hawana tofaut tena mjaluoBora kidogo kwa waluo ila wakikuyu balaa mwanamke kama mwanaume vile mnasimama nae na humwambii Kitu .wanapigwa sana mpaka wanakimbia nyumba
Ha ha ha ha !!!nimeipenda hiiWatanzania mnapenda kula kweli, mbebe chakula mkija Kenya, wakenya hatuna wakati wa kupika vizuri, bora tule!!
Mokimo wanachanya waruu yan (viaz)Hii ni Githeri... sasa kuna Mukimo hiyo nayo ni tamu balaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna chakula kimoja wanakiita MOKIMO ndo ovyoo kabsa
Rekebisha kauli, wanajua kupika vyakula vinavyopatikana huko, kitimoto, mchemsho ndizi etc. Mambo ya pilau na chai za iliki na mdalasini tumewaachia watu wa Pwani kwani ndio wenye uwezo wa kupika kuanzia asubuhi mpaka jioni.pande za kaskazini hakuna mapishi kabisa hata wachaga wamejua kupika juzijuzi tu hapa nao ilikuwa majanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo Umeua na kuzika kabisaSi manjua hawajui kubembeleza. Wanawake wa-TZ wanabembeleza hadi kwa kutumia mwiko chakula kinakuwa lainiiii.
Sasa nenda kwa Mkenya utasikia RETA KITUNGUU WEKA KIZIMA-KIZIMA, BONYEZA NYANYA IPASUKE RUSHA KWENYE SUFURIA halafu pakua mara moja peleka kwa yule kijana.
Nimependa jibu lakoBeauty is in the eye of the beholder.
πππππππSi manjua hawajui kubembeleza. Wanawake wa-TZ wanabembeleza hadi kwa kutumia mwiko chakula kinakuwa lainiiii.
Sasa nenda kwa Mkenya utasikia RETA KITUNGUU WEKA KIZIMA-KIZIMA, BONYEZA NYANYA IPASUKE RUSHA KWENYE SUFURIA halafu pakua mara moja peleka kwa yule kijana.
yaani ni mpambano kila siku halafu wahuni balaa mwanamke analiwa hadi tigo na hawara