Wakenya, mna kipi cha kutushauri majirani zenu huu uchaguzi?

Wakenya, mna kipi cha kutushauri majirani zenu huu uchaguzi?

Kwanza nakubali Kenya kuna ukabila na ukabila ni mbaya. Lakini Geza nina swali ambalo nimelifikiria jana. Hapa Kenya unadhani tunaweza kurudi kwenye one party state bila vita kama mlivyofanya ninyi? Kwa mfano unadhani Jubilee party ya Uhuru inaweza kushinda kura katika Nyanza province ya Raila bila ya idhini ya Raila?

Au mfano mwingine, let us assume kwamba Uhuru anagombea tena kiti 2022, unadhani 2022 Ruto anaweza kupata kura nyingi huko Central province kwa wakikuyu kushinda Uhuru? Juzi Uhuru alienda Kisumu akapokelewa kwa shangwe na bashasha lakini Raila alikuwa kando yake.

Unadhani Uhuru angekanyaga Kisumu ile enzi ya 2017 alipokuwa na uhasama na Raila? Mjaluo anaweza kupigia Jubilee kura wakati Raila amekataa ama mjaluo atafuata jambo ambalo Raila amesema?

MK254 ningependa pia kujua maoni yako kuhusu hili.

My aim ni kujua kama itakuwa rahisi kwa Kenya kurudi one-party state au kama ni vigumu
 

Kwanza nakubali Kenya kuna ukabila na ukabila ni mbaya. Lakini Geza nina swali ambalo nimelifikiria jana. Hapa Kenya unadhani tunaweza kurudi kwenye one party state bila vita kama mlivyofanya ninyi? Kwa mfano unadhani Jubilee party ya Uhuru inaweza kushinda kura katika Nyanza province ya Raila bila ya idhini ya Raila? Au mfano mwingine, let us assume kwamba Uhuru anagombea tena kiti 2022, unadhani 2022 Ruto anaweza kupata kura nyingi huko Central province kwa wakikuyu kushinda Uhuru? Juzi Uhuru alienda Kisumu akapokelewa kwa shangwe na bashasha lakini Raila alikuwa kando yake. Unadhani Uhuru angekanyaga Kisumu ile enzi ya 2017 alipokuwa na uhasama na Raila? Mjaluo anaweza kupigia Jubilee kura wakati Raila amekataa ama mjaluo atafuata jambo ambalo Raila amesema?


MK254 ningependa pia kujua maoni yako kuhusu hili.

My aim ni kujua kama itakuwa rahisi kwa Kenya kurudi kuwa one-party state au kama ni vigumu
 
394597_d4293895c40f58d1fa2052070195a8c6.jpg
 
Kwanza nakubali Kenya kuna ukabila na ukabila ni mbaya. Lakini Geza nina swali ambalo nimelifikiria jana. Hapa Kenya unadhani tunaweza kurudi kwenye one party state bila vita kama mlivyofanya ninyi? Kwa mfano unadhani Jubilee party ya Uhuru inaweza kushinda kura katika Nyanza province ya Raila bila ya idhini ya Raila? Au mfano mwingine, let us assume kwamba Uhuru anagombea tena kiti 2022, unadhani 2022 Ruto anaweza kupata kura nyingi huko Central province kwa wakikuyu kushinda Uhuru? Juzi Uhuru alienda Kisumu akapokelewa kwa shangwe na bashasha lakini Raila alikuwa kando yake. Unadhani Uhuru angekanyaga Kisumu ile enzi ya 2017 alipokuwa na uhasama na Raila? Mjaluo anaweza kupigia Jubilee kura wakati Raila amekataa ama mjaluo atafuata jambo ambalo Raila amesema?


MK254 ningependa pia kujua maoni yako kuhusu hili.

My aim ni kujua kama itakuwa rahisi kwa Kenya kurudi kuwa one-party state au kama ni vigumu
Hamwezi kwasababu moja tu ... Ukabila.
Nyie hamna demokrasia bali mna UKABILA.
Hampigi kura, Mnapigania nafasi kwa ajili ya MAKABILA yenu.
Watanzania siyo waoga lakini wengi wao WAMERUHUSU CCM ifanye uhuni kwa Upinzani kwa kutoenda kupiga kura wala kwa kutoingia barabarani. Watanzania na Wakenya ni tofauti sana huwezi kuelewa.
 
Kwanza nakubali Kenya kuna ukabila na ukabila ni mbaya. Lakini Geza nina swali ambalo nimelifikiria jana. Hapa Kenya unadhani tunaweza kurudi kwenye one party state bila vita kama mlivyofanya ninyi? Kwa mfano unadhani Jubilee party ya Uhuru inaweza kushinda kura katika Nyanza province ya Raila bila ya idhini ya Raila? Au mfano mwingine, let us assume kwamba Uhuru anagombea tena kiti 2022, unadhani 2022 Ruto anaweza kupata kura nyingi huko Central province kwa wakikuyu kushinda Uhuru? Juzi Uhuru alienda Kisumu akapokelewa kwa shangwe na bashasha lakini Raila alikuwa kando yake. Unadhani Uhuru angekanyaga Kisumu ile enzi ya 2017 alipokuwa na uhasama na Raila? Mjaluo anaweza kupigia Jubilee kura wakati Raila amekataa ama mjaluo atafuata jambo ambalo Raila amesema?


MK254 ningependa pia kujua maoni yako kuhusu hili.

My aim ni kujua kama itakuwa rahisi kwa Kenya kurudi kuwa one-party state au kama ni vigumu
Na huo ukabila wenu, mtachinjana mmalizane. Tz is built differently.
 
Hivi Kenya mnishinda nini Hiyo Egypty
Mnaishinda nini Russia
Nyie mna Demokrasia au Mna Uchaguzi wa Kikabila!!
Yaani Mna Demokrasia ambayo Ukoo mmoja una miliki Mashamba Kulisha Nusu nzima ya Wakenya!!
Sasa nyie ndio mna demokrasia? Nyie ambao mnafutilia mbali kabisa upinzani? Nyie hamna tena demokrasia. Mmekuwa one-party state!
 
Na huo ukabila wenu, mtachinjana mmalizane. Tz is built differently.
Huku Kenya serikali ikijaribu upuzi kama huo wenu itajua kilichomtoa kanga manyoa. Kenya haitawahi kuwa na chama kimoja kama nyie. Na serikali haiwezi kujaribu kuangamiza upinzani maana itakiona cha mtema kuni.
 
Huku Kenya serikali ikijaribu upuzi kama huo wenu itajua kilichomtoa kanga manyoa. Kenya haitawahi kuwa na chama kimoja kama nyie. Na serikali haiwezi kujaribu kuangamiza upinzani maana hawatafurahia reaction itakayotokea.
That's why we're Tanzania and you're Kenya. We're not alike, I see lots of you kwa fb, ig, YouTube mnajikuta mnajuua, ilhali nchi yenu ni uozo. Y'all so entitled, u do not know that. Bongo jana uyo lisu kaitisha maandamano nchi nzima, anataka raia ziache shughuli zao waingie kwa road wapate favors na sababu za wazungu kutuingilia, sasa hatukuitwaga wabongo for nuthn, ni raia tunotumia bongo, watu wako na mbishe zao, leo hii nmetoka chuga nilipopigia kura, ndio nmeingia moshi, maan, people are doing their things, and I expected this, a lot did.
CCM sio kanu buda, brains zilodesign hili lichama hazifanani kabisa na waasisi wa kanu. So y'all just chill and witness, and stop pretending like mnatujali saaana, sote tunajua ni wivu tu mko nayo.
 
That's why we're Tanzania and you're Kenya. We're not alike, I see lots of you kwa fb, ig, YouTube mnajikuta mnajuua, ilhali nchi yenu ni uozo. Y'all so entitled, u do not know that. Bongo jana uyo lisu kaitisha maandamano nchi nzima, anataka raia ziache shughuli zao waingie kwa road wapate favors na sababu za wazungu kutuingilia, sasa hatukuitwaga wabongo for nuthn, ni raia tunotumia bongo, watu wako na mbishe zao, leo hii nmetoka chuga nilipopigia kura, ndio nmeingia moshi, maan, people are doing their things, and I expected this, a lot did.
CCM sio kanu buda, brains zilodesign hili lichama hazifanani kabisa na waasisi wa kanu. So y'all just chill and witness, and stop pretending like mnatujali saaana, sote tunajua ni wivu tu mko nayo.
Kumbe unaishi Moshi? Una uhakika hujavuta moshi ya bangi? Endelea kutetea jambo lililotokea huko kwenu.
 
Vumilieni kwa sasa mkijiuliza ni wapi mlikosea na vipi mtarekebisha. Hapa Kenya tunawaangalia wanasiasa wakipiga siasa ila tushawajua kuwa hawana maslahi yetu kwa kazi yao bali ni matumbo yao.
 
Kwanza nakubali Kenya kuna ukabila na ukabila ni mbaya. Lakini Geza nina swali ambalo nimelifikiria jana. Hapa Kenya unadhani tunaweza kurudi kwenye one party state bila vita kama mlivyofanya ninyi? Kwa mfano unadhani Jubilee party ya Uhuru inaweza kushinda kura katika Nyanza province ya Raila bila ya idhini ya Raila? Au mfano mwingine, let us assume kwamba Uhuru anagombea tena kiti 2022, unadhani 2022 Ruto anaweza kupata kura nyingi huko Central province kwa wakikuyu kushinda Uhuru? Juzi Uhuru alienda Kisumu akapokelewa kwa shangwe na bashasha lakini Raila alikuwa kando yake. Unadhani Uhuru angekanyaga Kisumu ile enzi ya 2017 alipokuwa na uhasama na Raila? Mjaluo anaweza kupigia Jubilee kura wakati Raila amekataa ama mjaluo atafuata jambo ambalo Raila amesema?


MK254 ningependa pia kujua maoni yako kuhusu hili.

My aim ni kujua kama itakuwa rahisi kwa Kenya kurudi kuwa one-party state au kama ni vigumu

JPM anamuiga Kagame ambaye Kenya media na international communities zimekuwa zikimsifu. ukiangalia hamna tzofauti ya alichofanya JPM na Kagame kuanzia kuzuia mikutano ya vyama vya Upinzani mpaka kuwatia ndani wanasiasa wa Upinzani mpaka matumizi ya vyombo vya dola vya ulinzi kutishia Upinzani pia ballot stuffing and opposition votes stashing. Vijana wengi 35 and below (kwenye opposition strongholds) wamekuta majina yao hayamo on voting day though they were on registry list few days before! Ngoja tuone unafiki na reaction ya media zenu na international communities , JPM anaenda kuondoa term limit na serving term inaenda kuwa 7 years. He learns from the master himself!





 
JPM anamuiga Kagame ambaye Kenya media na international communities zimekuwa zikimsifu. ukiangalia hamna tzofauti ya alichofanya JPM na Kagame kuanzia kuzuia mikutano ya vyama vya Upinzani mpaka kuwatia ndani wanasiasa wa Upinzani mpaka matumizi ya vyombo vya dola vya ulinzi kutishia Upinzani pia ballot stuffing and opposition votes stashing. Vijana wengi 35 and below (kwenye opposition strongholds) wamekuta majina yao hayamo on voting day though they were on registry list few days before! Ngoja tuone unafiki na reaction ya media zenu na international communities , JPM anaenda kuondoa term limit na serving term inaenda kuwa 7 years. He learns from the master himself!
Kwanza, hakuna mahali media za Kenya zimewahi kusifu udikteta wa Kagame. Kagame huwa anauwa wapinzani wake au anawatia gerezani. Kagame ameuwa watu wengi sana wanaompinga.

Hata international media huwa zinamkashifu Kagame vikali kwa uuwaji na ukatili wake ama unataka nikuletee evidence?

Media ya Kenya na international media huwa zinasifia maendeleo ya Kagame lakini hakuna siku utawahi kusikia media ya Kenya ikishangilia wakati Kagame anauwa wapinzani wake.
 
Kwanza, hakuna mahali media za Kenya zimewahi kusifu udikteta wa Kagame. Kagame huwa anauwa wapinzani wake au anawatia gerezani. Kagame ameuwa watu wengi sana wanaompinga.
Hata international media huwa zinamkashifu Kagame vikali kwa uuwaji na ukatili wake ama unataka nikuletee evidence?
Media ya Kenya na international media huwa zinasifia maendeleo ya Kagame lakini hakuna siku utawahi kusikia media ya Kenya ikishangilia wakati Kagame anauwa wapinzani wake.

unanisikitisha yaani unabisha hili JPM yuko more attacked by ur media than Kagame, Nationmedia kila siku inamsifu actuually ur media worships him!
 
Unanisikitisha yaani unabisha hili JPM yuko more attacked by ur media than Kagame, Nationmedia kila siku inamsifu actuually ur media worships him!
Hebu angalia vitu ambavyo media za Kenya huwa zinasifu kuhusu Kagame. Hakuna jinsi utanishawishi eti media ya Kenya inafurahia udikteta wa Kagame. Mambo ambayo media yetu na international media huwa inasifu ni kama

1) Usafi wa Kigali. Nairobi ni chafu kushinda Kigali kwa hivyo inaeleweka mbona media yetu inapenda kuongea kuhusu usafi wa Kigali.
2) Low levels of corruption. Rwanda ina low levels of corruption na Kenya ina high levels of corruption sasa media ya Kenya inapenda kuonyesha tofauti hili
3) Low levels of crime. Wizi wa kimabavu haijakithiri sana kama Kenya.
4) High economic growth rate. Rwanda huwa inakuwa kwa 6% and above. Jambo ambalo ni nadra sana kwa uchumi Kenya.
E.t.c
Kuna sababu nyingi zaidi ambazo sitazitaja.

Sasa hakuna mahali ambapo media ya Kenya imesifu Kagame kwa uuwaji wake. Hata wazungu huwa wanamkashifu vikali. Evidence zipo mitandaoni. Nchi ya Marekani huwa inamkashifu kwa udikteta na ukatili wake.

Sasa likija kwenye suala la media ya Kenya kutompa Magufuli heshima, hilo linatokana na uhasama kati ya nchi zetu mbili. Madharau ambayo Magufuli ametufanyia ni nyingi sana na nitazitaja kwa hivyo usishangae media zetu zisipotangaza mazuri ambayo Magufuli anafanya.
1. Magufuli amechoma vifaranga vilivyotokea Kenya kwa madai kuwa wameingizwa Tanzania kinyume cha sheria. Hakukaa chini na kuzunguza nasi.
2. Kisha akapiga mnada ng'ombe za Wamaasai wa Kenya kwa sababu hilo hilo.
3. Amefunga border mara mbili au tatu ndani ya miaka mitano. Kikwete hakufanya kitu kama hicho.
4. Ametunyang'anya pipeline ya Uganda.
5. Halafu pia wivu wa media yetu kwa sababu nchi yenu inafanya vizuri kiuchumi. Unajua kama tunashindana kiuchumi unategemea vipi media yetu iadvertise maendeleo ya Tanzania? Hio haiwezekani, you are our rivals. Tunashindana kiuchumi kwa hivyo hatubembelezani. Media zenu pia haziripoti infrastructure za Kenya.
 
Back
Top Bottom