Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Wamakonde wapo kenya wanapatikana kwale.Wanyakonde na wanyasa hawapo Kenya. Alafu sidhani kama wameru wa Kenya na wale wa Tanzania wanakaribiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamakonde wapo kenya wanapatikana kwale.Wanyakonde na wanyasa hawapo Kenya. Alafu sidhani kama wameru wa Kenya na wale wa Tanzania wanakaribiana
Waluhya inasemekana wanatoka katika kabila la waganda hata ndio kabila pekee ambalo Ni la kifalume japo serikali haijaupa huo uongozi wao kipau mbele na hautambuliki na wengi, waluhya wanaingiana na wahaya kidogo japo hata kinyankole na kiluhya zinakaribiana.Wahangaza kwa kiasi kikubwa ndio wanyarwanda (watutsi) ila wanyambo wameegemea zaidi kwa wahaya. Kiufupi Ukifika uhayani kuna makundi mengi mfano waziba wa bukoba, wanyaihangiro wa muleba na hao wanyambo wa karagwe. japo huwa kuna mtafaruku kujua wanyambo ni wahaya
Connection ya wahaya na waluhya yaweza kuwa hii.. Wahaya inasemekana origin yao ni Bunyoro ambayo kwa kiasi kikubwa ipo Eastern Uganda, Waluhya wapo Western Kenya hivyo ukiangalia jiografia utaona wanapakana.
Ukiangalia flow utaona western Kenya, Eastern Uganda hadi North western Tanzania ambapo ndipo wahaya wanapatikana ...
Dani kazungu sio mdigo Ni mgiryama japo wote wadigo na wagiryama wapo kundi moja au kabila moja la mijikenda , kenya mkizungumza lugha ambazo zinakaribiana mnawekwa kundi moja mnakua kabila moja. Wadigo hawapatikani malindi ,malindi Ni kwa wagiryama, wachonyi,waribe,warabai ,wakauma etc, wadigo wanapatikana kwale ambapo wanaishi na wadhuruma na wamakonde,wadigo 90% Ni waisilamu na wagiryama 90% Ni wakristo.Yes, wadigo wanapatikana kote kote. Mfano, balozi wa sasa wa Kenya nchini Tanzania mhe. Danny Kazungu, ni mdigo wa kutokea Malindi Kenya.
Wajaluo tuko Nyanza maeneo ya ziwa Victoria. Counties za Kisumu, Siaya, Homabay na Migori to be specific. Wajaluo kwa ujumla wanapatikana Uganda(Acholi), Kenya, Tanzania, South Sudan na Ethiopia.wajaluo wanapatikana sana sehemu gani Kenya
Sawa sawa.Hao Wamakonde sio original Kenyan tribe. Hao walitembea kutoka Mozambique na kufika Kenya in the 1960s. Walipewa uraia wa Kenya miaka mitatu iliyopita na Rais Kenyatta.
Wana chale na ndonya kabisaHuenda wamakonde wapo ila idadi yao Ni chini sana halafu sidhani kama wanaongea lugha sawa na wamakonde wa Tanzania (not sure about this though). Wanyasa nao hawapo Kenya kabisa
Waluhya inasemekana wanatoka katika kabila la waganda hata ndio kabila pekee ambalo Ni la kifalume japo serikali haijaupa huo uongozi wao kipau mbele na hautambuliki na wengi, waluhya wanaingiana na wahaya kidogo japo hata kinyankole na kiluhya zinakaribiana.
They share names eg Mwango, mochache,No, this is not true. These two communities (Kurias and Kissis) are my neighbors and I know them very well. The names Chacha, Marwa and Mwita are a preserve of the Kuria community. You will never meet a Kisii by the name Mwita or Chacha. Never! Actually, I don't even think if Kisiis and Kurias share names though they have a lot in common, especially language
Kuna Wakamba pia Tanzania. Cha kuchekesha Wamaasai huwa wanawaona kama washambaHuku kuna Wakuria, watata sana wale tena hubishani naye dakika mbili kabla hajaliamsha, nilishangaa kuona ndugu zao huko Tanzania pia wako hivyo, wagomvi na watemi sana.
Pia kuna Wakamba huku ambao nilishangaa wanaendana sana na Wapare wa Tanzania.
Tunachangia makabila kama vile Wajaluo, Wadigo, Wakuria, Wamaasai japo pia kuna makabila yana undugu fulani huko kwa mila na desturi, kwa mfano Waluhya wa Kenya wanaendana sana na Wanyambo wa Tanzania, hata lugha zinakaribiana sana.
Wewe utakuwa Omera wa Ombo, Kakrao au Oruba migori!This is 100% true. I happen to live next to the border betwen the Kuria and the Luo and I can attest to this. These people are professional cattle rustlers. At one point, even the regular police could not combat them. It had to take the involvement of the special anti-theft stock unit to cool matters down. They took so many herds from our side that it reached a point we stopped keeping animals all together. Sad but true 😂
Mnyambo anaweza kula ugali kuku kulingana na Mluyha??!!Umeiweka vizuri sana....
Mara ya kwanza kumsikia Mnyambo anaongea kwa simu nilidhani Mluhya maana Kiluhya nakifahamu (mashemeji wangu), ila kwa namna fulani maneno yalikua yanapishana lakini kwa asilimia kubwa wanachangia maneno mengi sana hata desturi na tamaduni.
Kamba best wives?!!! Hahaaa, si ni kama kulima miwa karibu na shule ya msingi! Ungesema Taita au Pokomo hapo sawaI'm sure u know by now Kenya is a very tribalistic society ....unlike TZ. Huku most people can fluently speak their mother tongue....and strongly follow their tribal cultural beliefs. Below are some of the tribal stereo types as I know them.....
1. Business men/ entrepreneurs - Kikuyu, Somali, Kisii
2. Loyalty/honest/wangwana- Kamba, Taita
3. Proud/Braggarts - Luo
4. Strong/built - Luhya/Luo
5. Athletic - Kalenjin
6. Washamba - Kalenjin/Maasai/Turkana
7. Lazy - coastal tribes
8. Foody - Luhya
9. Temper/violence - Meru, Kisii
10. Best wives - Kambas
11. Black Magic - Kambas, Digos
Disclaimer ....these are just stereotypes
Mnyambo anaweza kula ugali kuku kulingana na Mluyha??!!
Bila kusahau wamasaiWachaga hawapo Kenya ila wakuria wapo na wajaluo pia wapo pande zote.
ila wapokomo ni mali safi chini ya maji walai, yani kuna wengine wapo km waswahili vile..Kamba best wives?!!! Hahaaa, si ni kama kulima miwa karibu na shule ya msingi! Ungesema Taita au Pokomo hapo sawa
Unawasifia tu wapokomo kwa sababu wewe Ni mpokomo lakini si wazuri vile haswa wanaume wao hao watu wa hola nawajua hawawezi karibia wataita/wataveta.ila wapokomo ni mali safi chini ya maji walai, yani kuna wengine wapo km waswahili vile..
Kabisa...Bila kusahau wamasai
😂 😂 😂 😂Wewe utakuwa Omera wa Ombo, Kakrao au Oruba migori!