Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Njaa tu zimeanza kuwasumbua, muda wote huo toka zaman walikuwaga wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa mavumbini alitumia magenge yake akashindwa sasa wewe nawe unaweza kumfuata aliyeshindwa.Namsubiri Lissu naye aingie mavumbini.
Bado wewe nae utaingia mavumbini; au hujui hilo?Wa mavumbini alitumia magenge yake akashindwa sasa wewe nawe unaweza kumfuata aliyeshindwa.
Kila mtu ataingia.. kinachoshangaza ni yule anayefanya mbinu wengine wawahi mavumbini. Matokeo yake akawahi yeye.Bado wewe nae utaingia mavumbini; au hujui hilo?
Hata usemeje; mavumbi yanakuhusu. Mwenzako keshatangulia. Nani mjanja?Kila mtu ataingia.. kinachoshangaza ni yule anayefanya mbinu wengine wawahi mavumbini. Matokeo yake akawahi yeye.
Hakuna mjanja isipokuwa kumshambulia mtu risasi 38 ni ukatili na mmoja wa hao makatili anajulikana tayari yupo mavumbini.Hata usemeje; mavumbi yanakuhusu. Mwenzako keshatangulia. Nani mjanja?
Huyo Lisu alishambuliwa na makamanda wenzake; unajifanya hujui?Hakuna mjanja isipokuwa kumshambulia mtu risasi 38 ni ukatili na mmoja wa hao makatili anajulikana tayari yupo mavumbini.
Kama nyinyi wana lumumba ambao mnaongoza serikali (ikiwemo ofisi ya dpp), kwanini hamjawafikisha mahakamani hao makamanda wenzake waliofanya ukatili?Huyo Lisu alishambuliwa na makamanda wenzake; unajifanya hujui?
Sasa mbona hilo lijamaa lako linaogopa kurudi wakati "adui" yake tayari ameshafariki?Kama nyinyi wana lumumba ambao mnaongoza serikali (ikiwemo ofisi ya dpp), kwanini hamjawafikisha mahakamani hao makamanda wenzake waliofanya ukatili?
Uzuri ikilipwa hutaambulia hata buku, utaskia imejenga madarasa na nyumba za walimu 😂😂😂Kenya wameamua kufanya kweli! Athari za ukoloni lazima zilipiwe fidia. Wanadai wakenya waliporwa ardhi ambayo hadi leo inamilikiwa na masetla wa kizungu. Wanataka fidia ya dola bilioni 200!!
Ni muda muafaka na sisi watanganyika tufungue kesi dhidi ya ukoloni wa wajerumani!! Wajerumani waliua viongozi wetu wa kimila, na kurudisha nyuma maendeleo! walitupora madini nk. Watanganyika tudai pia fidia ya dola 250!.
Mbona hata sasa tunaporwa tu, tena tunafunga safari kabisa kwenda kuwaita watupore.Kenya wameamua kufanya kweli! Athari za ukoloni lazima zilipiwe fidia. Wanadai wakenya waliporwa ardhi ambayo hadi leo inamilikiwa na masetla wa kizungu. Wanataka fidia ya dola bilioni 200!!
Ni muda muafaka na sisi watanganyika tufungue kesi dhidi ya ukoloni wa wajerumani!! Wajerumani waliua viongozi wetu wa kimila, na kurudisha nyuma maendeleo! walitupora madini nk. Watanganyika tudai pia fidia ya dola 250!.
Ndo mana waziri akawafungia viooNjaa tu zimeanza kuwasumbua, muda wote huo toka zaman walikuwaga wapi
Huyo wa mavumbini sio aliyeenda dodoma kumshambulia. Genge lake bado lipo.Sasa mbona hilo lijamaa lako linaogopa kurudi wakati "adui" yake tayari ameshafariki?
Una ushahidi; au ndio stori tu za vijiweni? Hilo lijamaa lako ni lioga kama kunguru.Huyo wa mavumbini sio aliyeenda dodoma kumshambulia. Genge lake bado lipo.
Ushahidi wa nini? Polisi ndio walieleza namna shambulio lilivyotokea na afande muroto alisema anazo cctv footage na baadae akabadilisha kauli.Una ushahidi; au ndio stori tu za vijiweni? Hilo lijamaa lioga kama kunguru.
Unaongea bila ushahidi kama wanavyofanya makamanda uchwara wa ufipa. Hilo lijamaa lako limejichimbia Ubelgiji limejaa uoga kama kunguru. Limebaki kupiga kelele zisizo na tija.Ushahidi wa nini? Polisi ndio walieleza namna shambulio lilivyotokea na afande muroto alisema anazo cctv footage na baadae akabadilisha kauli.
Wakati sisi tukidai makinikia yetu ambayo ni halali kabisa kuna watu hapa wakaanza kutukejeli.