Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wewe ndiye umesema ya kwamba watu wanaambukizana lakini hawafi kwa Corona,ndiyo nikakuuliza umejuaje ya kwamba hakuna wanaokufa kwa Corona?mgonjwa wa corona anapitia hatua zipi kabla ya kufariki???
au unamaanisha watu kufa wakiwa na corona?
Sasa hiyo proportionality ndiyo tunapaswa kuipima ili tujue Corona ipo kwa kias gani.Lakini kwa bahati mbaya tumekuwa majuha na kuitangazia dunia ya kwamba Corona haipo kwa sababu imeondolewa kwa maombi ya siku tatu kitu ambacho mtu mwenye akili timamu ni lazima awe na wasiwasi na uongozi wa nchi ya kwamba ni machizi au!
kama umesahau corona ni ugonjwa wa mlipuko labda nikukumbushe.Kwa nchi makini kwa nini usubiri hadi mzee ambae tunajua ni vigumu kupona aambukizwe corona?Kwa nini tusizuie kwenye chanzo kimojawapo ambacho ni hawa wenye corona bila dalili ambao ndiyo wanaambukiza hawa wazee?
ndio sababu namimi nikakuuliza,hatua zipi mgonjwa wa corona hupitia kabla ya kufariki kabisa,hujajibu.Wewe ndiye umesema ya kwamba watu wanaambukizana lakini hawafi kwa Corona,ndiyo nikakuuliza umejuaje ya kwamba hakuna wanaokufa kwa Corona?
Kama hatua ninazozizungumzia hazina maana tena kwa sasa,Je Tanzania tunachukua hatua zilizo za maana kwa sasa?kama umesahau corona ni ugonjwa wa mlipuko labda nikukumbushe.
hizo hatua unazozungumzia hazina maana tena kwa sasa.
hakuna hatua yoyote,haivaliwi barakoa wala sanitizer hazipakwi tena,gari zinajaza,na mikusanyiko inaendelea mwezi wa 3 huu sasa.Kama hatua ninazozizungumzia hazina maana tena kwa sasa,Je Tanzania tunachukua hatua zilizo za maana kwa sasa?
Nimesagasaga nyembe natembea nazo nikukutana nawe nikugawie unyweTh
TZ is the mad country on earth!😬😬😬
Kwani hakuna mogonjwa mengine yanayoua kwa mateso?Ina maana kila anaekufa kwa mateso kwenye hayo magonjwa mengine nina taarifa zao!ndio sababu namimi nikakuuliza,hatua zipi mgonjwa wa corona hupitia kabla ya kufariki kabisa,hujajibu.
inawezekana unadhani corona inaua kama pressure.
corona inaua kwa mateso kijana,wala usingesubiri jiwe aje akwambie ndipo ujue kuna watu wanakufa kwayo.
Swali langu bado ni lile lile,kama Corona haipo kama unavyojinadi ya kwamba ipo vichakani ni kigezo gani umetumia ukajua haipo?hakuna hatua yoyote,haivaliwi barakoa wala sanitizer hazipakwi tena,gari zinajaza,na mikusanyiko inaendelea mwezi wa 3 huu sasa.
corona imelala inaishi vichakani siku hizi!!!
hata anayekufa kwa kuumwa kichaa anateseka pia.Kwani hakuna mogonjwa mengine yanayoua kwa mateso?Ina maana kila anaekufa kwa mateso kwenye hayo magonjwa mengine nina taarifa zao!
ni kwamba hutaki jibu,na una jibu lako kwenye kimemo mfukoni.Swali langu bado ni lile lile,kama Corona haipo kama unavyojinadi ya kwamba ipo vichakani ni kigezo gani umetumia ukajua haipo?
Wewe ndiye umesema ya kwamba watu wanaambukizana lakini hawafi kwa Corona,ndiyo nikakuuliza umejuaje ya kwamba hakuna wanaokufa kwa Corona?
Yea ahadi ya umaskini wa kimali na kiakili pia.[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]nchi ya ahadi.
ugua pole[emoji23][emoji23][emoji23].Yea ahadi ya umaskini wa kimali na kiakili pia.
Kwa hiyo ungepata nafasi ya kuhutubia pale UN kuwa toa hoja ya kwamba Tanzania hakuna Corona, hilo ndiyo jibu ungewapa?ni kwamba hutaki jibu,na una jibu lako kwenye kimemo mfukoni.
corona haipo,maana corona si mzimu ni ugonjwa ule,tena wa uvamizi.
swala sio wao kuelewa,bali wawe na habari kwamba corona haipo hapa.Kwa hiyo ungepata nafasi ya kuhutubia pale UN kuwa toa hoja ya kwamba Tanzania hakuna Corona, hilo ndiyo jibu ungewapa?
Wao au mimi kuwa na habari kuwa Corona haipo Tanzania inahitaji ushahidi wa kitaalam.Huo ushahidi wa kitaalam upo?swala sio wao kuelewa,bali wawe na habari kwamba corona haipo hapa.
wewe na wao nyinyi ni nani mpaka mshinikize ushahidi wa kitaalamu??mna undugu na corona!!Wao au mimi kuwa na habari kuwa Corona haipo Tanzania inahitaji ushahidi wa kitaalam.Huo ushahidi wa kitaalam upo?
Mbona hakuna nchi inayopima watu wote wenye maambukizi ya Ukimwi ili wasiambukize wengine kwa kutojua kwamba wana Ukimwi?Unaelewa kuwa mtu anaweza kuwa na virusi vya Corona na wala asionyeshe dalili yoyote ile hadi anapona?Unaelewa kuwa mtu kama huyu anaweza kuambukiza watu maelfu na mamia kati yao wakafa?Unaelewa kuwa ni muhimu kupima kila mtu ili kugundua watu kama hawa ambao wana virusi vya Corona lakini hawaonyeshi dalili yoyote ile ili watu wa namna hii wachukue hatua wasiambukize watu wengine?
🤣🤣🤣wewe na wao nyinyi ni nani mpaka mshinikize ushahidi wa kitaalamu??mna undugu na corona!!