Wakenya wameogopa kuhusu Modern Security ya JPM katika ufunguzi wa Namanga - From *********

Ali? 😅
 
Yule fala alileta huu ujinga hapa alikimbia?
So you want to engage on d measuring!? Utaweza mziki.
First of all maoni yametolewa na wakenya wenzako.
So show us your jamming systems.
 
Nani kakuambia huyo ni special force,hao ni TISS jomba
 
Tutamlinda kwa nguvu zote
Kwanza naona bado ulinzi uongezwe zaidi
 
Security and protection level depends on threat level, sasa Namanga hatuoni ikiwa na threat ya kutaka hiyo jammer.
Kama ingekuwa kwenye North Eastern province ingekuwa hapo kwa sababu ya al-shabab na IEDS zao.
Namanga imepitisha magaidi waliowahi kulipua mabomu Arusha.
 
Eti ndie Rais anaependwa na wanachi wake.. wengine wanasema ni sampuli ya J.K.Nyerere [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzi kweli akyanani!
ume panic ?
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslah yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Hawa ndo walioiba chocolate au ni army?
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslah yenu yanazidi kukandamizwa.
Unadhani mambo yanaenda kama unavyowaza!?
 
Nani kakuambia huyo ni special force,hao ni TISS jomba
Wanao mlinda rais ni askari walionauwezo wa hali ya juu na kimazoezi wako vizuri....ndio maana nikasema wao ni special force jinga hii
 
😀😀 endelea kujichocha, radar mmeweka juzi halafu sasa huwezi tulia juu ya mobile jamming system?
mobile jamming system hata kwenye briefcase inatoshea..we don't need to show it around to scare villagers
Kama juzi tu radar haijui nini kilipita huko kagera utaendelea kuitegemea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…