MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
SiijuiACT-Maendeleo mnaendeleaje huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SiijuiACT-Maendeleo mnaendeleaje huko?
Do you see any special forces soldiers running around ?Ila huu sio UshambaView attachment 955761
Pwahaaaa maneno meeeeeengi kama unatumbuliwa chipu. Show us uhunye security.Do you see any special forces soldiers running around ?
Hii dada ndo security I can respect, real security ni Ile ambayo haionekani .
Security ya Rais inafaa kua na 3-4 rings....
4th ring ni undercover wanachanganyika na raia...
3rd na 2nd ring, inakua ni polisi wa kawaida, pamoja na crowd control..
1st ring ni personal bodyguards ambao wamevaa masuti......
Alafu Counter assault team wanafaa kujificha lakini wawe tayari kutokelezea kupigana incase Rais amevamiwa.....
lakini ukinionyesha special forces wanafukuzana na gari la Rais, hapo ninachoona ni mtu anaependa kuonekana (kama vile Kim Jon Un) au security ambao wako na vifaa lakini hawajui kazi yao
Hio inaitwa thermal imaging ... Google it!Miwani ya usiku kavaa mchana ..[emoji23][emoji23][emoji23]
Umewaeleza safi sana. Wanadhani ile yao ndo jammer pekee. 😅😅 hawajui kuwa huwa inafunikwa tuKwa wale wa Senge ambao ilikua ndo mara yao ya kwanza kuona Frequency jammer kwa mortocade ya rais wao....
Hizi gari mbili hua utaziona kwa motorcade ya Uhuru, mara kwa mara..... Hapa hua zimezibwa ili usianze kuuliza maswali mengi
View attachment 955505
Angalia vizuri, Utaona Counter assault team hapo ndani ya hilo gari la Kwanza, Tofauti na hao wa Tz, hawa jamaa hua hawatoki ndani ya hilo gari kihlela, mara nyingi hata hutajua kama wako..
View attachment 955510
View attachment 955515
Hapo nimeweka mshale mwekundu angalia signal jammer ikiwa haijafunikwa
View attachment 955521
View attachment 955523
White ni gari la Rais, Red ni signal jammer
View attachment 955525
View attachment 955536
Hapa unaiona ikiwa karibu kabisa
View attachment 955542
View attachment 955544
Funzo la siku ni kwamba watu waache ushamba na vitu vya kawaida!!!!!
Who's this fucking guy. Huyu jamaa huwa na akili. Alidhani hatuna jammers akaletewa, tens si moja, ameanza upuzi mwingine tens. Usidhani nyinyi ndo wa kwanza kuwa nayo. Tunayo ila haionyeshwi kama yenu kila mtu anaonyeshwa ati hii no jammerPwhaahahahaha. Miwani ya kuogelea kwenye maji. Ushamba huo bro. Admit it, kenya is primitive.
[emoji23][emoji23]nasikia et police wetu wanao linda bank .nikama special forces yenu et ni kweliWho's this fucking guy. Huyu jamaa huwa na akili. Alidhani hatuna jammers akaletewa, tens si moja, ameanza upuzi mwingine tens. Usidhani nyinyi ndo wa kwanza kuwa nayo. Tunayo ila haionyeshwi kama yenu kila mtu anaonyeshwa ati hii no jammer
I hope unafanya utani manake Sasa naanza kushuku kama akili yako ni timamu... hii ni miwani ya kuogelea?Pwhaahahahaha. Miwani ya kuogelea kwenye maji. Ushamba huo bro. Admit it, kenya is primitive.
😂😂 hivo huyo ni polisi anayelinda bank. Anabeba hadi feya ama naona nini. Na bank ina threat gani kubwa huko Tanzania saaana. Kujionyesha tu ndo zenu[emoji23][emoji23]nasikia et police wetu wanao linda bank .nikama special forces yenu et ni kweli View attachment 955809
Sent from my samsung galaxy j7 using JamiiForums mobile app
Iyo niya kuonesha umekufa kiume [emoji23][emoji23]bullets zikiisha una tumia iyo .atutaki mchezo sisi[emoji23][emoji23] hivo huyo ni polisi anayelinda bank. Anabeba hadi feya ama naona nini. Na bank ina threat gani kubwa huko Tanzania saaana. Kujionyesha tu ndo zenu
Pwahaaaa maneno meeeeeengi kama unatumbuliwa chipu. Show us uhunye security.
Enyewe. Hamtaki mchezo. Kuna squad binafsi imeekewa mabenki... Mko vizuri sana😅😅Iyo niya kuonesha umekufa kiume [emoji23][emoji23]bullets zikiisha una tumia iyo .atutaki mchezo sisi
Tatizo mnapenda sana mapicha.. Ndo mana shabab wanawamaliza..
Hawa hawakai ndani ya hiyo gariHawa hapa kina nani?
![]()
![]()
Raser... LaserRPG kama zile za Al shababu hazipiti kwenye hiyo Jammer vehicle??? Au inaweza Zuia raser beam from satelite ???
So analinda bank akiwa na feya? [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]nasikia et police wetu wanao linda bank .nikama special forces yenu et ni kweli View attachment 955809
Sent from my samsung galaxy j7 using JamiiForums mobile app
Raser... Laser
Acha upuuzi huyo ni askari wa magereza ya wafungwa na hayo manati kajiwekea tu hayapo kwenye silaha zinazotumika na askari wa jeshi loloteHehehe mabaunsa wamejianika vifua nje, nani aliwaambia mtu mwenye nia ya kumpiga rais atakuja kiulevi ulevi. Asante Kafrican kwa kuwaonyesha jinsi jammers za Kenya hufichwa, sio ubabaishaji kwa wanavijiji
Halafu mapolisi wa Kibongo hupenda show za kiajabu ajabu, hebu ona hii picha polisi amejihami kwa manati/feya, sasa eti huyu ndiye commando
![]()