Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Bishop HilukaMbaya zaidi ni kwamba usafiri wa umma mjini Dar, ambao ndio ungewapa akina Johnny Mutembei afueni ndio huu hapa.Foleni za wasafiri Dar wakingoja mabasi ya mwendokasi, BRT. Janerose mzalendo atasema kwamba hawa sio watanzania, sio kwa sura zao nyeusi ti ti ti kama zetu sisi wanubi, na walivovalia 'yeboyebo' zao mjini.
😂 😂😂Hahahaa. Lakini hii siyo Dar es Salaam, hatuna vituo vya BRT (mwendo kasi) kama hivyo wala hatuna vituo na daladala za aina hiyo, labda mji mwingine...
[emoji1][emoji1][emoji1]Hahahaa. Lakini hii siyo Dar es Salaam, hatuna vituo vya BRT (mwendo kasi) kama hivyo wala hatuna vituo na daladala za aina hiyo, labda mji mwingine...
...na hatuna barabara chafu sisi si weusi....😂 😂😂Hahahaa. Lakini hii siyo Dar es Salaam, hatuna vituo vya BRT (mwendo kasi) kama hivyo wala hatuna vituo na daladala za aina hiyo, labda mji mwingine...
Huyu sijui hii picha aliipigia sehemu gani ya Dar es Salaam maana hata kwa macho ya kawaida tu hapo hakuna kituo cha mwendo kasi na wala vituo vyao haviko hivyo, labda kama ni nje kabisa ya mji naweza kuelewa au ni kule Mbezi Mwisho ambako kunajengwa kituo kikubwa cha mabasi ya mikoani, maana huwa kuna msongamano mkubwa wa abiria wanaotaka kwenda mjini. Kwanza hapo naona Toyota Hiace ambazo Dar es Salaam hazitumiki kusafirisha abiria mjini, labda nje ya mji...
Magari yenyewe ndio hizo Nissan Datsun - pick ups? We mkenya hebu hurumia mbavu zangu 😀😀😀Kuna magari 30 kwa kila Wakenya 1,000, ilhali majirani Tanzania na Uganda ni 21 na 13 mtawalia.
Which African Countries Have the Most Cars on the Road?
The used car import market in Africa is growing, leading to more cars on the road. Which countries have the most? Let's take a look.blog.beforward.jp
Barabara chafu hazikosekani, anayesema hivyo mnafiki, ila inategemea ni sehemu ipi ya mji au nchi......na hatuna barabara chafu sisi si weusi....
😀😀😀
Huyu sijui hii picha aliipigia sehemu gani ya Dar es Salaam maana hata kwa macho ya kawaida tu hapo hakuna kituo cha mwendo kasi na wala vituo vyao haviko hivyo, labda kama ni nje ya mji naweza kuelewa au ni kule Mbezi Mwisho ambako kunajengwa kituo kikubwa cha mabasi ya mikoani, maana huwa kuna msongamano mkubwa wa abiria wanaotaka kwenda mjini...
Atleast kwa vile hujawahi kufika Dsm na hata hujui BRT ipoje ngoja nikuwekee picha moja na ulingnishe na hizo za kwakoMbaya zaidi ni kwamba usafiri wa umma mjini Dar, ambao ndio ungewapa akina Johnny Mutembei afueni ndio huu hapa.Foleni za wasafiri Dar wakingoja mabasi ya mwendokasi, BRT. Janerose mzalendo atasema kwamba hawa sio watanzania, sio kwa sura zao nyeusi ti ti ti kama zetu sisi wanubi, na walivovalia 'yeboyebo' zao mjini.
Halafu kwenye picha yake kuna Toyota Hiace, usafiri ambao Dar es Salaam ilishaacha kuutumia miaka ya mwanzoni wa 2000. Pia sisi huwa hatukai foleni kama Kenya...Waambie kabisa maana naona wanashupalia kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23] yaani kuna watu wana chuki na serikali yaani wapo radhi wadanganye chochote.
Halafu kwenye picha yake kuna Toyota Hiace, usafiri ambao Dar es Salaam ilishaacha kuutumia miaka ya mwanzoni wa 2000. Pia sisi huwa hatukai foleni kama Kenya...
Atleast kwa vile hujawahi kufika Dsm na hata hujui BRT ipoje ngoja nikuwekee picha moja na ulingnishe na hizo za kwakoView attachment 1185858
Hahaha! 😀 Bishop Hiluka.Huamini picha, haya basi video itakufaa, yaani watu wanasubiri mabaasi masaa zaidi ya matatu...
Atleast kwa vile hujawahi kufika Dsm na hata hujui BRT ipoje ngoja nikuwekee picha moja na ulingnishe na hizo za kwakoView attachment 1185858
Ngoja tusikize maoni ya ripota wetu Jackal, kutoka upande wa pili wa studio.Huyu sijui hii picha aliipigia sehemu gani ya Dar es Salaam maana hata kwa macho ya kawaida tu hapo hakuna kituo cha mwendo kasi na wala vituo vyao haviko hivyo, labda kama ni nje kabisa ya mji naweza kuelewa au ni kule Mbezi Mwisho ambako kunajengwa kituo kikubwa cha mabasi ya mikoani, maana huwa kuna msongamano mkubwa wa abiria wanaotaka kwenda mjini. Kwanza hapo naona Toyota Hiace ambazo Dar es Salaam hazitumiki kusafirisha abiria mjini, labda nje ya mji...
Hapo sio stand ya brt we nuguMbaya zaidi ni kwamba usafiri wa umma mjini Dar, ambao ndio ungewapa akina Johnny Mutembei afueni ndio huu hapa.Foleni za wasafiri Dar wakingoja mabasi ya mwendokasi, BRT. Janerose mzalendo atasema kwamba hawa sio watanzania, sio kwa sura zao nyeusi ti ti ti kama zetu sisi wanubi, na walivovalia 'yeboyebo' zao mjini.
Hakuna siku? MtasandaHakuna siku mnaweza kutuzidi kwa wingi wa magari, hata mkiwa wengi kiasi gani, kwa taarifa yako Kenyan population ni 49,000,000
Hiyo ina maana tuna magari zaidi ya 1,400,000.
Mimi naishi Dar es Salaam, hakuna usafiri wa Toyota Hiace mjini, hatuna utaratibu wa kupanga foleni kama Kenya (ndiyo maana basi likija ni full kugombea) na wala hakuna vituo vya 'mwendeokasi' vya aina hiyo, haya unayotaka kulazimisha hapa wewe ni stamina ya ubishi...Ngoja tusikize maoni ya ripota wetu Jackal, kutoka upande wa pili wa studio.
Mkuu mwenzangu MK254 naona sasa unataka kuharibu heshima yako. Kwani mlazimishe vitu, hebu linganisha video hii uliyoweka na zile picha zenu za watu wamesimama juani wakiwa wamepanga foleni kusubiri usafiri, utaona tofauti. Kwanza hatutumii Hiace, hatupangi foleni kama Kenya (ndiyo maana likija gari tunagombea) na vituo vya mwendo kasi kwenye video hii havifanani kabisa na vile vya kwenye picha... Suala la watu kusubiri muda mrefu lipo, na hata huko Nairobi lipo, tena kwa kiwango kikubwa sana kuliko Dar es Salaam...Huamini picha, haya basi video itakufaa, yaani watu wanasubiri mabaasi masaa zaidi ya matatu...