Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Jibu hoja zake, usilete porojo hapa, yeye kugombea ubunge kupitia chama chochote cha siasa ni haki yake, hajavunja sheria yoyote ya nchi, kama nyie mlivyozivunja sheria nyingi mkiwapa waarabu bandari zetu zote milele wazisimamie, kama vile mmetuona sisi na vizazi vijavyo ni manyani, hamna adabu kabisa nyie.
 
wewe inaonekana hata ukitishiwa na manati tayari unakumbatia ukuta na kusomwa jicho ki urahiiisi kabisa madai yako usije tolewa nundu na jiwe la manati. Mambo yenu ya ki bwabwa pelekeni huko kwa wajomba zenu wanaotaka kubeba bandar yetu
sawa . ila mda ni mwalimu mzuri. mtakuja humu kulialia kuhusu huyo jamaa yenu. hii nchi chezea vyote usichezee misingi yake. yaani mjinga mmoja tu alete taharuki za kijinga who is he? hata huko ulaya mnaposema kuna democrasia kuna kipindi lazima wa eliminate wanaotaka kuvunja misingi ya taifa.
 

Wewe unadhani Boni ni Dalali kama Kitenge?

Then alivyowanyoosha ikaishia wapi? Wapiganaji hawafi bali wana-mutliply strength in numbers!
 
Watanganyika wapo na ardhi ya Tanganyika bado ipo. Hata hivyo ulipaswa kushambulia hoja na si mtu. Tatizo lenu watetezi wa mkataba hamna hoja zaidi ya vitisho na matusi! Watanganyika wameamka.
kame wameamka ingia barabarani sasa
 
viva mwambukusi, viva tanganyika
Ali Karume kasema Hussein Mwinyi mtanganyika anauza mali ya Zanzibar. Kwa habari za mitandao wanasema yupo chini ya ulinzi Msasani
Mambo yao ya Zanzibar wamalizane huko hoko hatutaki upumbuvu huku Tanganyika tunazidai Bandari zetu. Kwa nini aletwe Tanganyika wakati wanaserikali yao huko Zanzibar? Iwe mvua iwe jua hizo Bandari wanazo piga mnada kwa mahawala zao watazinyaa.
 
Ukishindwa kusikilizwa kwa lugha ya staha tumia sauti wanayoitaka wao.
 
Misingi ya nchi Tanganyika kuuzwa na wazanzabar?
 

Dada acha hasira, mrembo andika kwa kutulia
 
Kongole sana wakili msomi. Tuko nyuma yako sisi watanganyika wote. Huyu mama wa kambo arudi kwao na asituuze kwa waarabu.
 
Wewe unadhani Boni ni Dalali kama Kitenge?

Then alivyowanyoosha ikaishia wapi? Wapiganaji hawafi bali wana-mutliply strength in numbers!
Kwenye mitandao kweli lakini huku mitaani hata hamjulikani kumepoaa. Mwenyekiti aliwekwa ndani mkaweka matako yenu chini kimyaaa. Wale sijui covid 19 tu CCM wamewaamulia tu umeufyataaa. Ila kwenye mitandao utasema kuna nchi nyingine ndio maana wanawapuuza tu.
 
Wakili Boniphace Mwabukusi amekuja kwa ghafla. Huyu ndiye man of the moment. Anaongea kwa mode ya kiuchungaji kwa kufoka anapojenga hoja zake.

Anyway ngoja tuone hatma yake japo kazidisha matusi na dharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…