Wakili: Deni la Membe kwa Musiba liko palepale

Ndie alie kashifiwa??
Jaribu kuwa unajisomea Sheria peke yako update japo abc zake utanishukuru siku nyingine siyo leo!
Hata mtaani wadaiwa wanalipa madeni kwa msimamizi wa mirathi! Au wewe hujawahi kufiwa au kushiriki shughuli za msiba?
 
Unatafuta expert opinion kwa kumuuliza wakili ambae marehemu alikuwa mteja wake kwenye kesi ya madai na si ajabu malipo yake ni percentage kwenye hiyo award, halafu utegemee neutral response.

Hizi media zetu nazo dah

Ukitaka expert opinion tafuta mtaalamu asie na uhusiano na hiyo case aliebobea kwenye maswala ya tort in general, na awards za defamation zinalenga kusawazisha nini kwa claimant.

Technically hayo madai hayapo tena, kwa sababu mtu pekee alietakiwa kufidiwa ni Membe.
 
Huyo wakili na yeye soon atajikutaa Yuko mbinguni na membe + magufuli wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu ...
 
Kasome vizuri
 
Jamaa maisha yake yote kaishi kama mfalume,mwisha sasa hanaitwa maiti hana tena thamani kwa mtu yoyote yule kinacho subiliwa ni kuingizwa kwenye shimo na kufukiwa na kifusi cha tani 10 habari yake hishie hapo
 
Ongeza maarifa hapo mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20230513-090906.png
    63.6 KB · Views: 4
naomba nifahamu kiwango chako cha elimu kwanza
Sina elimu ya kukariri ili kupata ajira mkuu!
Shauri la Membe ilikuwa madai ya fidia binafsi kutokana na kukashifiwa (compensation for injury of reputation). Hivyo, anayestahili fidia akifa na madai yake yanakufa. Kisheria tuna msemo (maxim) unasema “Actio personalis moritur cum persona” (“A personal action 🥸🥸dies with the person”). Kwa hiyo madai kama hayo hayawezi kuwa sehemu ya mirathi ya marehemu.🥸
 
Jaribu kuwa unajisomea Sheria peke yako update japo abc zake utanishukuru siku nyingine siyo leo!
Hata mtaani wadaiwa wanalipa madeni kwa msimamizi wa mirathi! Au wewe hujawahi kufiwa au kushiriki shughuli za msiba?
Shauri la Membe ilikuwa madai ya fidia binafsi kutokana na kukashifiwa (compensation for injury of reputation). Hivyo, anayestahili fidia akifa na madai yake yanakufa. Kisheria tuna msemo (maxim) unasema “Actio personalis moritur cum persona” (“A personal action 🥸🥸dies with the person”). Kwa hiyo madai kama hayo hayawezi kuwa sehemu ya mirathi ya marehemu.🥸
 

Usititoe kwenye reli
 
Kwa kuwa Marehemu alishaprove case yake na kupata decree.That decree is a property and that property survive and passes to the surviving.Hivyo hata kama Musiba akiappeal au asiappeal the right of action never abate.In short deni liko pale pale tofauti ni anayesimamia hatakuwa Membe bali mwakilishi wake dunia/Personal Legal representative.
 
Tusiandikie mate mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…