Shauri la Membe ilikuwa madai ya fidia binafsi kutokana na kukashifiwa (compensation for injury of reputation). Hivyo, anayestahili fidia akifa na madai yake yanakufa. Kisheria tuna msemo (maxim) unasema “Actio personalis moritur cum persona” (“A personal action 🥸🥸dies with the person”). Kwa hiyo madai kama hayo hayawezi kuwa sehemu ya mirathi ya marehemu.🥸