Wakili: Deni la Membe kwa Musiba liko palepale

Japo Mimi siyo mwanasheria, issue ya Membe ilishatolewa maamuzi na mahakama Hadi madalali walishateuliwa kwa akili ya utekelezaji wa hukumu Ile. Inakuwaje wewe kusema madai yamekufa na mdaiwa wakati hukumu ilishatoka? Ufafanuzi tafadhali!
 
Wadau nauliz deni la musiba vipi .ndo basi tena au aendelee kufukia mbuzi huko mwibara na kuku weusi njia panda...mAwakili imekaaje hii
 
Japo Mimi siyo mwanasheria, issue ya Membe ilishatolewa maamuzi na mahakama Hadi madalali walishateuliwa kwa akili ya utekelezaji wa hukumu Ile. Inakuwaje wewe kusema madai yamekufa na mdaiwa wakati hukumu ilishatoka? Ufafanuzi tafadhali!
Tusiandikie mate mkuu

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Bora mm niendelee kula bia na kitimoto hapa. Hao ccm watajuana wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…