Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Kwa kuwa wewe unashangilia mkataba wa bandari kusainiwa na Samia basi vivyo hivyo ushangilie na serikali ya ccm chini ya Samia kuitawala Zanzibar hapo vipi.Wewe si yako ??uko Marekani au Ulaya ??
Na wewe endelea hivyo hivyo kupiga makelele ya keyboard humu JF kupinga mkataba wa bandari au vipi ??Kwa kuwa wewe unashangilia mkataba wa bandari kusainiwa na Samia basi vivyo hivyo ushangilie na serikali ya ccm chini ya Samia kuitawala Zanzibar hapo vipi.
Zindukeni ccm imeitawala Zanzibar.Na wewe endelea hivyo hivyo kupiga makelele ya keyboard humu JF kupinga mkataba wa bandari au vipi ??
Sio CCM tu ni Tanganyika chini ya hiyo iitwayo CCMZindukeni ccm imeitawala Zanzibar.
Mkataba upi unaouongelea?Nguvu yote hii ni kwa ajili ya kunyamazisha watu wasiukatae mkataba ambao hauko sawa tu ama kuna jingine.
Tuunganishe nguvu tuwe kitu kimoja.
Kama sio Zanzibar na Tanganyika pia basi tuunganishe nguvu pamoja maana kajificha kwenye serikali mbili anaiburuza Zanzibar na Tanganyika.Sio CCM tu ni Tanganyika chini ya hiyo iitwayo CCM
Hajajificha ni mfumo ndio unaoburuza , yeye aliwekwaa hapo na kwa bahati mbaya au nzuri magufuli amefariki na hiyo nafasi ikabidi aichukuwe yeyeKama sio Zanzibar na Tanganyika pia basi tuunganishe nguvu pamoja maana kajificha kwenye serikali mbili anaiburuza Zanzibar na Tanganyika.
Acha wamnyooshe huyo maku,Hana adabu,mbaguziMambo mengine kujiaibisha tuu
Yule Kigai hamna kitu pale alishindwa kujua maana PGO ndio ataweza kuandika saa tatu ya kiswahili.Dr, Nashala anatakiwa aende saa tisa alfajiri (asubuhi) kama alivyo ambiwa ktk barua ya wito. Atakuta ofisi ya DCI imefungwa anarudi zake nyumbani kulala.
Hakuna kesi tena alishatii wito.
Aliemwita Magufuli dikteta uchwara ile ilikuwa kauli ya staha sana au sio🤣🤣🤣! Matokeo yake mtu akamiminiwa njugu mkaja juuZipo laws of natural justice ambazo sio lazima ziwe coined na katiba yoyote ila kila mmoja mwenye akili timamu anapaswa kufahamu lakini pia tuna tamaduni zetu ambazo ndio msingi na uhai wa taifa letu. Wakili anapayuka sana mpaka kupoteza stara licha ya kujenga hoja zinazoeleweka. Anafoka as if anawafokea watoto wake, mamlaka huwa zinalindwa na kuheshimiwa duniani kote sio busura kwa mtu msomi kama huyo jamaa kutoa kauli zingine kama kejeli, aadhibiwe.
Kipimo cha matamshi makali ni kipi? Kinaitwaje?DP World....
Tatizo sio maoni kuhusu mkataba wa bandari Ila matamshi makali yenye lugha isiyo nzuri.
Hahahah utateseka sana huu mwaka. Makubaliano yakiwa legally binding ni mkataba tayari.Mkataba upi unaouongelea?
Ameitwa kwa DCI akauelezee vizuri huo mkataba mnaoungelea.
Wewe unao? Kwanini huendi kumsaidia kwa DCI?
Hivi hii Tanganyika iko wapi? Hata google hawaitambui.Sio CCM tu ni Tanganyika chini ya hiyo iitwayo CCM
Kipimo cha matamshi makali ni kipi? Kinaitwaje?
Wasipoangalia wanaweza sababisha wananchi wakafikia huko maana kwa mwananchi wa kawaida hoi, tozo kupanda kwa bidhaa sokoni, mkulima pembejeo juu na wasomi hawana ajira, baada ya kutafuta njia za kumkomboa ndio wanazidi kudidimizaNchi ya hovyo sana hii. Hivi najiuliza kungekuwa na amshaamsha kama Kenya CCM si wengejinyonga
Mkuu mbona unaipa majukumu mapya JWTZ? Jeshi la wananchi na maswala ya ulipaji Kodi na wizi linahusika vipi? Umeongea hayo yote kwa mihemuko ili mradi nawe uwe umechangia au ndipo uwelewa wako ulipoishia?Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,
kwamba serikali iliamua kuibnafisisha bandari ya dar,na nyinginezo nchini kwa kuwa ufanisi ni zero hivyo ikaona haja ya kuleta DPW kuinua ufanisi na mapato ya serikali
Imeelezwa kuna ukwepaji mkubwa wa ulipaji kodi na wizi mkubwa katika bandari zetu
Hii inamaanisha vyombo vya ulinzi na usalama havina msaada kwa taifa,yaani TISS,TAKUKURU,JESHI LA POLISI,MAGEREZA,JWTZ, TRA na vinginevyo ni mdebwedo hasa.
Swali: Vimeshindwaje kudhibiti haya madhira yanayotekea kwenye bandari zetu?, je viapo vyao ni bure kabisa? .ni kweli hivi vyombo vimeshindwa kukomesha uhuni bandarini?,huyu mgeni DPW ndio suluhisho?
Mpaka nchi inaingia mkataba wa kijinga na DPW,, yaani ili DPW akomeshe uhuni huo?, seriously kweli?
Na kama vinatimiza wajibu wake ,mamlaka ndio hazitaki kuchukua hatua visikibali kudhalilika namna hii,na viongozi wake wajiuzulu mara moja na haraka sana
SI unit yake inaitwaje?Kinaitwa uzushi na uongo. Ukita kufahamu zaidi unaweza kwenda kwa DCI au mahakamani wakufafanulie.