Duh,we msimamo wako wa bandari ni upi?Karamagi na Tibaijuka ni chanda na pete.
Tibaijuka na Nshala ni chanda na pete.
Karamagi = Tibaijuka = Nshala
Hakuna cha uzalendo wowote zaidi ya kikundi cha mafisadi tu hapo.
(4R)
Hakuna jipya. Hata wakili Nshala mwenyewe alipotamka maoni yake yale kwa uchungu alikuwa akijua fika itaishia hivi. Hapa nyumbani maisha ya kutishana yalishakuwa sehemu ya maisha yetu. Ukweli kwa wakubwa hautakiwi kusikika maana unauma.Barua hiyo ya wito kutoka ofisi ya DCI inamtaka Dkt. Nshala kufika kwa ajili ya mahojiano
Ofisi hii inafanya uchunguzi kuhusiana na kauli ulizotoa tarehe 03 Julai 2023 na kisha kusambazwa katika vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam
Ili tuwe kukamilisha uchunguzi wetu, ofisi hii inakutaka ufike ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya Jinai Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 11 Julai, 2023 saa 09:00 asubuhi bila kukosa kwa ajili ya mahojiano.
Pia soma:
Rugemeleza Nshala: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania
Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
Hakatazwi mtu kukosoa lakini namna ya kukosoa watu imefikia mpaka kuandaa maandamano na mikutano na kutoa manano machafu kwa Rais na kileta ubaguzi, lazima aitwe ajieleze nini hasa lengo lake.Watu wanaosifia na kutetea mkataba ni sawa,wanaokosoa na kusema mkataba mbovu wanatishiwa maisha na kushtakiwa.
Rais Samia huu ni udikteta,watu wasilazimishwe kusifia na kupongeza,kazi hiyo waachie chawa wa Mama na chawa wa CCM.
Raisi hivi punde ulionekana ukikosoa utendaji wa serikali kuhusu malipo ya ndege hadi ukatamaka maneno "stupid" je nawe utaitwa Polisi?!!
Hata mimi nimeshangaa!Afike saa 9:00 asubuhi?!
Anza wewe toka barabarani na family yakoRais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu
Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?
Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?
Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo
Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana
Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia
Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Kale kamzimu ndiyo kansa ya taifa lilipofikia. Sijawahi kumpa heshima.Nidhamu ya uwoga ilitengenezwa back in the day na Nyerere himself , hata alipoondoka madarakani alitoa kauli za kukemea hiki kitu.
Miaka ya hapa kati imekuwa branded, inaitwa uzalendo na wanasiasa.
Hii kitu ndio imetengeneza kizazi cha hovyo
Anzaxkujitokeza wewe,utajua hujui.Rais mstaafu wa TLS amepokea wito wa polisi kanda maalumu Dar es Salam kwa mohojiano kufuatia maoni yake naamna mkataba wa kitapeli dhidi ya waarabu
Sisi Watanganyika tukae tujiulize kosa la Dr.nshala ni lipi?
Kosa lake kuhoji bandari kutaka kuuzwa kwa waarabu?
Watanganyika tuamke wanalenga kutuziba mdomo midomo
Tujitokeze barabarani kupinga dr nshala kuhojiwa hii inatoa inshara mbaya sana
Km viongozi wamekula pesa za waarabu wawajibike wao sio kutesa wananchi wasio na hatia
Jamani watanganyika tujitokeze kupinga huu uonevu wa dola kupitia police
Hata Mimi nashangaa, saa 9 asubuhi??!!!!!!Afike saa 9:00 asubuhi?!
Nawasoma wanavyodanganyana kama watoto naishia kucheka mwenyewe.Ukiwa una akili timamu utatoa maoni yako kuhusiana na content ya maoni ya Dr Nshala. Ukiwa empty brain, utaacha content na kuanza kubwabwaja eti huyu ni rafiki sijui ya nani na nani. Hopeless kabisa.
Ukikosea usikosolewe kisa Mwanamke,la!Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
Huu ndio ukweli.Wamefanya vizuri tena sana, watu wachache hawawezi kusambaza chuki, kuleta mgawanyiko wa nchi kwa sababu zao binafsi. Zile siyo lugha ya mtu mwenye akili timamu kwanza apimwe akili. Utafikiri hajalelewa na wazazi, huwezi kumtukana mwanamke mtu mzima kiasi kile achilia mbali ndiyo eais wa nchi yetu. Vyombo vya ulinzi na usalama visicheke na watu km hao hata kidogo. Bado yule mnyakyusa Mwabukusi. Km wana stress zao watafute namna ya kuzimaliza huko huko wasitumie mipango mizuri ya serikali.
PUMBAFU! Onyesha hapo alipovuka mpakatatizo la Nshala anaongea kwa jazba sana jambo linalo poteza uwezo wake wa kufikiria kwa kina.
kwa mtu mwenye taaluma kama yake hapaswi kupayuka kwa mihemko ya kisiasa.
kila raia anao uhuru wa kutoa maoni lakini kumbuka mipaka iliyo wekwa, ukivuka mipaka uhuru wako unapotea na hivyo utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
tatizo watu wanatumia uhuru wao vibaya kwa kuvunja uhuru wa wengine au mamlaka