Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala(PhD) aitwa Polisi kutokana na maoni yake kuhusu bandari

Baada ya kuuza Bandari za Tanganyika kwa Waarabu mmeanza kusema ni vita ya Kiuchumi.
 
Waandishi wa habari huru, wenye youtube channels zao.

Waitwe mmoja mmoja na kujieleza ni nani anawalipa.

Simu na mawasiliano yao yachunguzwe kwa kina. Naamini serikali inaweza kufanya uchunguzi mzuri na wa haraka na unaofata sheria.
Ooh 'tunatanka' demokrasia huku unabinua pua juu. Ooh magu aliminya demokrasia. Demokrasia ndio hiyo acha watu waongee
 
Nidhamu ya uwoga ilitengenezwa back in the day na Nyerere himself , hata alipoondoka madarakani alitoa kauli za kukemea hiki kitu.
Miaka ya hapa kati imekuwa branded, inaitwa uzalendo na wanasiasa.

Hii kitu ndio imetengeneza kizazi cha hovyo
Yeye mwenyewe Nyerere hakuvumilia ukosoaji, hata Ccm yake aliyoirithisha nchi imeiga kutoka kwake.
 
Hawa watu sio wakuwaamini tena waondolewe kwanguvu kwenye office za umma wakauze baa.
 
Kuna wale wa ndege, wapo wale wa ripoti ya CAG pia wapo wale wa hazina wakti wenzao wapo Mei Mosi wao wakawa wanazikwapua hatujasikia DCI akiwaaita hadharani, pia yupo Jussa na Ali Karume hatujawasikia wakiitwa kujieleza. Haya bana haya yana mwisho lakini. Mwisho wa yote sote tutabaki raia wa kawaida.
 
Yeye mwenyewe Nyerere hakuvumilia ukosoaji, hata Ccm yake aliyoirithisha nchi imeiga kutoka kwake.

Yap, zimwi lililotengenezwa ili asipingwe back then. Ccm wameubeba huo utamaduni to this modern era.

Hii kitu ita wa cost sana, maana kile kizazi cha waoga kinaanza kupungua taratibu
 

Ndo maana tutafika tumechelewa, izo nchi zilizo endelea raisi anatukanwa vizuri tuu akijivuruga, izo mila sijui desturi na dini ndo zinapumbaza bongo zetu, ye ni mtanzania kasoma mkataba kaona shida zilizopo kwenye mkataba ndo kaamua kupaza sauti kwa namna anayoona ipo sahihi kosa lake ni lipi apo? Hii nchi huwezi sikilizwa bila ya kua ivo ndo maana katimia lugha inayofichwa fichwa na wengi kusemea taifa lake.
 
Ebu iweke hiyo mipaka na utuambie sheria inayoweka hiyo mipaka.

Kama wanaona ana jinai,wampeleke mahakamani ili ujinga wao umaonekane wazi, siyo kumtishia.
Zipo laws of natural justice ambazo sio lazima ziwe coined na katiba yoyote ila kila mmoja mwenye akili timamu anapaswa kufahamu lakini pia tuna tamaduni zetu ambazo ndio msingi na uhai wa taifa letu. Wakili anapayuka sana mpaka kupoteza stara licha ya kujenga hoja zinazoeleweka. Anafoka as if anawafokea watoto wake, mamlaka huwa zinalindwa na kuheshimiwa duniani kote sio busura kwa mtu msomi kama huyo jamaa kutoa kauli zingine kama kejeli, aadhibiwe.
 
Kwenye kuitikia huo wito Dr. Rugemeleza aongozane na Adv Kibatala, ni imani yangu mahojiano hayatazidi dakika tano.
 
Mbona nyinyi mumetuvamia na kuichukuwa nchi yetu Zanzibar na kuwa ngawira yenu ?? Hilo hamlioni au mkuki kwaa nguruwe tu na mlikuwa mnasema wanaohoji muungano washughulikiwe ?+
Zanzibar itatawaliwa na ccm mpaka mjitambue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…