Wakili Edward Heche atangaza kumuunga mkono Tundu Lissu aseme ni mtu pekee anayechukia rushwa kwa moyo na roho yake yote

Wakili Edward Heche atangaza kumuunga mkono Tundu Lissu aseme ni mtu pekee anayechukia rushwa kwa moyo na roho yake yote

Ni kweli, mbowe anaweza kushinda kijanja huko chadema, lakini kwa umma itakuwa ni shughuli nzito kuungwa mkono

Watanzania wengi ni waandamanaji na wapiga porojo tu mitandaoni. Bora ubaki na wachache unaowaamini kuliko kujipa matumaini kuwa kuna nguvu ya umma itakusapoti.
 
Back
Top Bottom