mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Asaule hapo studio nimkamate nipande nae kisutu.
Alisoma chuo gani huyu?
Alisoma chuo gani huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyoka kwa wazungu huko, huku sie nguo zimeanza kuvaliwa kipindi cha mkoloni, na sielewi mbona kabla walikua hawabakani, unajipitisha mbele ya wajomba vitako waziKama sio nyoka ungekuta tunatembea zetu uchi fresh kabisa. Ukipata mchumba kabla haujasema Yes or no unapima ni inch ngapi kabisa.
Kuna namna ukiiona unajua hii ni inch kadhaa ikisimama lazima zifike inch kadhaaSasa inch si inakua tofauti kutokana na mazingira? Au kama mtu hajavaa nguo inakua kudumu Chama Cha Mapinduzi muda wote?
Au wewe unataaluma ya kuangalia tu unajua kukadiria?
Kuna namna ukiiona unajua hii ni inch kadhaa ikisimama lazima zifike inch kadhaa
Ukiiona ona sana unaizoea inakuwa haisisimui tena ndio maana. Ila ikifichwa fichwa halafu paap ukaoneshwa lazima mapigo ya moyo yabadilikenyoka kwa wazungu huko, huku sie nguo zimeanza kuvaliwa kipindi cha mkoloni, na sielewi mbona kabla walikua hawabakani, unajipitisha mbele ya wajomba vitako wazi
Tena abinuke tuone "tortellini" kwa nyumaNa alipaswa kuwa naked wakati wakutoa hayo maelezo ili tujilidhishe kwamba sio kosa kisheria 😜
Msisahau na sanamuTutakukabidhi vyeti kutambua taaluma yako. Una kipaji
Itajengwa, sema iwekwe mji gani?Msisahau na sanamu
huwezipima inch mpaka idindeKama sio nyoka ungekuta tunatembea zetu uchi fresh kabisa. Ukipata mchumba kabla haujasema Yes or no unapima ni inch ngapi kabisa.
Posta hapo😂😂na iwe na muundo wa hiyo kitu yenuItajengwa, sema iwekwe mji gani?
Inapimwa vizuri tu. Unaongeza za kudinda.huwezipima inch mpaka idinde
Posta hapo😂😂na iwe na muundo wa hiyo kitu yenu
aisee, sawaInapimwa vizuri tu. Unaongeza za kudinda.
Njoo pm ili kuondoa sintofahamuSiri yangu sitaki kunangwa mimi
Getrude anza wewe,alaf katiza mitaa ya mwembe yanga pale tandika,uone wahuni wa tandika watachokufanya,then wakishakufanyie uone kama sheria haitafuata mkondo wake!!"Tuna masuala ya kisheria na masuala ya kimaadili. Mfano nikitoka hapa kwenye kipindi nikasaula nguo zangu, nikashuka chini nikaanza kutembea sina chochote sio kosa la kisheria lakini ni kosa la kimaadili.
Na hamtoniamini kunileta kwenye kipindi kwa sababu kimaadili sio kitu sahihi lakini sio kosa kisheria kwamba huyu mtu ametembea uchi, sio kosa.
Kwahiyo inapofikia hatua mtu anasema nguo wanazovaa wanawake zinawashawishi wanaume wawabake sio kweli" - Wakili Getrude Dyabene, Kutoka Kituo Cha sheria na haki za Binadamu (LHRC)
Ni inch 3 mkuuNjoo pm ili kuondoa sintofahamu
Jamani[emoji1787]Wenye vibamia wakisoma hapa wanaumia