mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Inaelekea wewe unapenda mtu mwenye dubwana kubwaKuna namna ukiiona unajua hii ni inch kadhaa ikisimama lazima zifike inch kadhaa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea wewe unapenda mtu mwenye dubwana kubwaKuna namna ukiiona unajua hii ni inch kadhaa ikisimama lazima zifike inch kadhaa
Tena abinuke tuone "tortellini" kwa nyuma
Anataka waelewesha wanajisumbua juu ya mavazi ya wanawake et sio maadili ya kiafrica .au hajui mabibizetu wazaa babu walikuwa wanatembea makalio na matiti waziKwanini katolea mfano hilo la kutembea uchi?
ila kweli ndo maana watu huchepuka,,,,unakaa weee unaiona ya mke/demu wako kila siku hadi unakua huna msisimuko ila ukitoka nje ukiona mpya hamu inakuja kama una upwiru wa miakaUkiiona ona sana unaizoea inakuwa haisisimui tena ndio maana. Ila ikifichwa fichwa halafu paap ukaoneshwa lazima mapigo ya moyo yabadilike
Haujawahi? Utakuwa binadamu wa ajabu.Kutembea naked kabisa?
Getrude Dyabene nguo nawe unazovaaga sijajua ulilelewa wapi na akina nani! Kwa bahati sura Yako Haina mvuti kivile
"Tuna masuala ya kisheria na masuala ya kimaadili. Mfano nikitoka hapa kwenye kipindi nikasaula nguo zangu, nikashuka chini nikaanza kutembea sina chochote sio kosa la kisheria lakini ni kosa la kimaadili.
Na hamtoniamini kunileta kwenye kipindi kwa sababu kimaadili sio kitu sahihi lakini sio kosa kisheria kwamba huyu mtu ametembea uchi, sio kosa.
Kwahiyo inapofikia hatua mtu anasema nguo wanazovaa wanawake zinawashawishi wanaume wawabake sio kweli" - Wakili Getrude Dyabene, Kutoka Kituo Cha sheria na haki za Binadamu (LHRC)
Kafuata maadili, haijawahi kutungwa sheria inayokataza kutovaa nguo.Na alipaswa kuwa naked wakati wakutoa hayo maelezo ili tujilidhishe kwamba sio kosa kisheria 😜
Ungekuwa ulizaliwa kando ya ziwa usingeuliza swali hilo, huko wanaume na wanawake huwa uchi japo kutofautisha maeneo.Inaonekana anapenda sana kukaa uchi.
Huwa anatembea uchi humjui ? Nilikuwa naye kwenye kikao mapaja nje nje ila hayana mvuto ndio faida.Huyo wakili aanze kutembea yeye Uchi aoneshe mfano
Ova
Zipo nchi nyingi tu pamoja na Tanzania watu wanatembea uchi, tatizo ni kutoyafikia maeneo hayo ya katikati ya Tanzania.Kama sio nyoka ungekuta tunatembea zetu uchi fresh kabisa. Ukipata mchumba kabla haujasema Yes or no unapima ni inch ngapi kabisa.
Nyoka ganiKama sio nyoka ungekuta tunatembea zetu uchi fresh kabisa. Ukipata mchumba kabla haujasema Yes or no unapima ni inch ngapi kabisa.
Wewe hata sikujibu maana sio believer wa hiyoNyoka gani
Tatizo lako umejichimbia Kinondoni na kudhani dunia yote iko kama Kinondoni, tembelea Gugo uone nchi ambazo zina watu hawajui kuvaa nguo.Aisee, Sasa Kwa maelezo yake hayo mazuri ni ipi Sasa tufuate.
Je tuseme maadili Yana nguvu kuliko Sheria!🤔.
Ipi Bora, tufuate Sheria au tufuate maadili.
Wazungu na Wachina hawanaga mvuto, ndio maana kesi za ubakaji ni chache.
Ila ngozi nyeusi, kialabu, kihindi zinamvuto.
Atupie kapicha basi ambako aliwahi piga akiwa akiwa naked au basi hata amevaa chupi au bikin ili kizazi Cha Leo kimwelewe haraka msomi wetu wa haki za binadamu.
Usomi Raha Sana.
Uchi wa “mnyama”? Wapi hukoZipo nchi nyingi tu pamoja na Tanzania watu wanatembea uchi, tatizo ni kutoyafikia maeneo hayo ya katikati ya Tanzania.
Kwani huyo mwanao mdogo ni nyani? Au wewe ulizaliwa ukiwa umevaa nguo?Uchi wa “mnyama”? Wapi huko