Aaah, jomba wacha hizo, miaka ya '90 mbona suti za maana zilikuwapo!!Tatizo unaitazama picha kwa jicho la leo, ingawa mkulu hata leo pigo zake ni magumashi ila hii kwa nyakati zao haikuwa kichekezo bali heshima... tunatoka mbali bwashee.
Mkuu ushujaa mwingine wa kijinga, sasa anachekea akiwa ameshikiliwa ndani ya mahabusi.Lione jioga! Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje?
atakuwa anatumiwa na MboweNimeangalia ile sio commedy, alilenga kumdhalilisha Mkuu wa Nchi lazima achunguzwe huwenda kuna mtu anamtumia nyuma ya pazia
Kiukweli inakera sana inamaana alikosa kitu cha kuchekesha mpaka achukue picha ya raisi?Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Cha ajabu siku ya kwanza kuiona nilicheka kidogo tofauti na nilipoona clip ya Idris,hapo ndio cheko lilitoka hadi machozi.Kusema kweli inachekesha lakini si unajua tena mkubwa hachekwi? Wengine tulicheka kimyakimya yakaisha, ila yeye kiherehere ndio kinamponza.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aaah, jomba wacha hizo, miaka ya '90 mbona suti za maana zilikuwapo!!
Cha ajabu siku ya kwanza kuiona nilicheka kidogo tofauti na nilipoona clip ya Idris,hapo ndio cheko lilitoka hadi machozi.
Mkuu sie kazi yetu ni hashtag tu huku tumejificha nyuma ya keyboard.Basi mpelekee tende akapate kufutari Mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my iPhone using JamiiForums
huyu nae anastahili kukamatwa au yupo sawa?Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwahiyo kusambaza picha ukicheka Ni kosa?.Biology kuna kitu nilisoma kinaitwa automatic reflex action...aisee iyo pichwa sema ukioona biology huwa inaaply hapo fasta...kosa la dogo ni kujirekodi na kusambaza ila sio kucheka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Apewe onyo tu,Kali Sana ili siku akirudia Tena ajue kikombe atakinyweaO
Onyo?
TuWashauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums
This is Africa my friend, picha ya Raisi haifanyiwi mzaha.Kwahiyo kusambaza picha ukicheka Ni kosa?.
Labda tuseme mtu umezidiwa furaha,utalia au utacheka,as a reflex action?