Wakili Msomi: Yanga wamefanya uzembe kwa Feisal

Mchezaji yoyote yule, duniani kote, saa yoyote ile anaweza kuamua kuvunja mkataba wake na klabu yake ikiwa atataka kufanya hivyo ili kuwa huru, kikubwa ajiandae kulipa gharama ya kufidia huo mkataba.
 
Issue sio kuvunja mkataba, swala ni utaratibu wa kuvunja watu wana twist story mimi mwanzo nlikua upande wa Feisal ila nmefatilia nmegundua kuna sehemu haipo sawa
Yule ameajiriwa. Kwani Yanga mtu hatakiwi kujiuzulu? Kalipa mishahara mitatu ya notisi, Kalipa hela alopewa kama manunuzi. Hataki kuchezea yanga. Uzuri yanga imekiri kwamba kaandika barua. Ulitaka afanyeje?
 
Wana Yanga mwacheni Fei Toto aende zake huko Azam. Yanga ni kubwa sana kuliko Fei Toto.
 
Utaratibu wa kuvunja mkataba haupo upande mmoja pia sheria za FIFA zinaruhusu kuvunja msimu ukiwa umeisha sio kati kati ya msimu hii kitu wasipo kaa kuongea Feisal hatacheza mpaka mwisho wa msimu
Iyo sheria ya FIFA ni kifungu gani kinachosema mpaka msimu uishe?huu ni msimu wa dirisha dogo TFF washatangaza timu zisajili.
Yanga watapoteza muda tu wabaki na iyo hela milioni 100 watafute mashine nyingine,akuna namna Yanga watambakisha Fei akuna.
 
Kwanza anapaswa aelewe kuwa Neymar hakuwalipa Barca gharama za pesa walizomsaini bali aliwalipa Barca pesa kulingana na thamani waliyomuwekea endapo kama kuna klabu itamuhitaji(release clause/buyout clause)
Kwenye mkataba wa Yanga na fei toto. Yanga wameweka release clause ambayo inamtaka mchezaji kurudisha signing fee na mshahara wa miezi mitatu
 
Any contract should have consideration. Sasa ukisema awarudishie halafu wataje tena hela yao huoni kama inakuwa siyo sahihi
 
Huyu jamaa anaonekana ni mweupe kabisa kichwan, yeye hajui Kama mchezaji anaweza kuvunja mkataba na timu yake akawa huru?? Then akatafuta timu yeye akiwa mchezaji huru?

Shida shule za kata nchi hii zimekuwa nyingi mno

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Basi na aende huko Azam fc
 
Dejan akidai Simba Kuna vipengele wamekiuka
 
Sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…