Wakili Msomi: Yanga wamefanya uzembe kwa Feisal

Mfano ulioutoa wa Calinho haufanani na suala ala Fei Toto na Yanga SC.

Hizo demands za Calinho kuvunja mkataba hazikuwepo kwenye mkataba wa mwanzo waliosaini Yanga SC na Calinho, kitu ambacho kwa Fei Toto ni tofauti.

Fei Toto anachofanya yeye ni kutimiza sharti la kimkataba kwa kufuata walichokubalina na Yanga SC wakati wa kusaini mkataba husika.
 
Yan watu wanaikurupukia hii issue wengine hata hawaelewi kinachoendelea. Hapa kinachozungumzwa ni utaratibu uliotumika.

Sasa mtu anaandika utafikiti anahara. Mbumbumbu utabaki kuwa mbumbumbu tu. Heshima kwako Rage uliyaona mbali hata mambumbumbu
Umesoma mkataba wake au unabwabwaja tu?, usiendeshwe na mihemko ila angalia kipengele kipi cha mkataba kilichovunjwa au utaratibu upi ulioko kwenye mkataba sio kurukia vitu ambavyo hauna data.
Waambini viongozi wenu waweke vifungu vilivyokiukwa vilivyoko kwenye mkataba sio hizo taaraba mnazokumbatia eti utaratibu haujafuatwa, mkiulizwa vifungu mnakimbia.
 
Yan watu wanaikurupukia hii issue wengine hata hawaelewi kinachoendelea. Hapa kinachozungumzwa ni utaratibu uliotumika.

Sasa mtu anaandika utafikiti anahara. Mbumbumbu utabaki kuwa mbumbumbu tu. Heshima kwako Rage uliyaona mbali hata mambumbumbu
Weka kifungu. Huu muda unaohara hapa ungetumia kuweka kifungu
 
Kipi walikubaliana ambacho hajatekelezewa,hajapewa nafasi ya kucheza so anaomba kuondok kipaji chake,hajalipwa mshahara miezi 3?iwapo kuna chochote ndani ya mkataba hajatekelezewa ana haki ya kuvunja mkataba
 
Rejea ya Neymar utanielewa, mlijichanganya kuweka kipengele cha kuvunja mkataba endapo mchezaji ataweka dau (kununua mkataba wake) Fei kaweka mzigo now yuko free.
Ney hakulipa signing fee alilipa market value yake kwa mujibu wa valuation ya PSG. Hivyo ni vitu tofauti
 
Kipi walikubaliana ambacho hajatekelezewa,hajapewa nafasi ya kucheza so anaomba kuondok kipaji chake,hajalipwa mshahara miezi 3?iwapo kuna chochote ndani ya mkataba hajatekelezewa ana haki ya kuvunja mkataba
Kama aliwekewa kipengele alichotimiza cha kuvunja mkataba akiweka dau husika kwa klabu, hapo Yanga hawana ujanja.
 
Hujui kitu , Neymar hakulipa pesa yeye kihuni bali PSG waliwalipa Barca hiyo pesa na akawa mchezaji wa PSG .
Psg hawakuwapipa Barca, mchezaji ndo aliyenunua mkataba then akaingia makubaliano na psg kimpango wake.
 
Kama aliwekewa kipengele alichotimiza cha kuvunja mkataba akiweka dau husika kwa klabu, hapo Yanga hawana ujanja.
Ndio aweke dau litakalotaka klabu na sio signing fee ambayo ni pesa ya Yanga waliyompa,inabidi arudishe signing fee na pesa ya kuvunja mkataba
 
Hata Mkataba wa Yanga na Feisal limewekwa dau kwenye kipengele cha mchezaji akitaka kuvunja mkataba na ndo hicho kipengele kakitumia Fei. Mtahangaika sana ila mmefeli pakubwa, issue ya mikataba inahitaji umakini mkubwa mno
 
Neymar alienda PSG bila makubaliano kati ya PSG na Barca.
Alichofanya Neymar ni kuvunja mkataba 250 million euro. Then akawa free agent akaenda zake PSG. Yaani hata FFP haikuwa na nguvu yoyote hapa..
Acha uwongo neymar hakuvunja mkataba,aliununua
 
Kuvunja mkataba mtu haamui tu from no where ingekuwa hivyo ingekuwa rahisi sana ,hata Dejan yeye aliweka sababu .
Kwani Fei hajaweka sababu!!!?? Fei kavunja kwasababu mkataba unamruhusu kuvunja wakati wowote ila tu aweke mezani 112M na amefanya hivyo.
 
Huo ni mkataba wa Neymar na Barca, turudi kwenye mkataba wa Fei na UTO.
Gongowazi mmeshindwa kumbana mchezaji kwenye mkataba mkaacha mwanya ambao ndo unawatesa leo.
 
Hata Mkataba wa Yanga na Feisal limewekwa dau kwenye kipengele cha mchezaji akitaka kuvunja mkataba na ndo hicho kipengele kakitumia Fei. Mtahangaika sana ila mmefeli pakubwa, issue ya mikataba inahitaji umakini mkubwa mno
Watanzania MNA vichwa vizito sana,hakuna hela ya kuvunja mkataba ,mkataba unavunjwa kama kuna mahala kuna makosa..sio kwamba unaamua tu kuvunja mkataba..kumbuka CR7 alivyo taka kuvunja mkataba na MAN U
 
Ndio aweke dau litakalotaka klabu na sio signing fee ambayo ni pesa ya Yanga waliyompa,inabidi arudishe signing fee na pesa ya kuvunja mkataba
Kwa taarifa zilizopo, Yanga SC wamewekewa mil 100/= za usajili, na mshahara wa miezi 3 kama mkataba ulivyotaka, wakagoma kupokea.
 
Kilicho fanyika hapo ndugu ni Feisal kwanza kuvunja mkataba na yanga hiyo battle I'll kuwa yao wawili kwanza baada ya hapo ndo kaja kusaini timu x hii ngoma no ya Feisal na Yanga tu timu x haihusiki hapa bado. Baada ya hapo ndo ana saini timu x bisahara closed mkataba was kijinga sana huu Yanga wali ingia na Feisal hauna kipengele kinacho ainisha ukitaka kuvunja mkataba make chini mjadiliane Bali wewe to a kiasi kadhaa cha pesa biashara imekwisha sheria no very trick aisee una kula za usoo una ishia kulialia
 

Unaleta hoja ya kilimbukeni. Yanga’s argument is that there is a tapping up issues. Sijui unaelewa au ulikimbia umande?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…