Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

CDM acheni uchochezi jmn - kwa nn mnakuwa hivyo jmn!!!!
Serikali ya CCM ina ustarabu sana ndiyo maana mnadeka sana
 
Hapo Sasa mwabukusi alikuwa anaenda kukabidhiwa Kadi ya Chama na katibu mkuu taifa chadema

Ili apate jukwaa la kusemea ipasavyo

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Miye nawalaumu tuu kujipakiza gari moja, hapo mwingine angekwea mwewe, mwingine treni, na mwingine angepanda basi hadi iringa akatokea Dodoma zen akarudi Dar. Umafya umafya tuu maisha kuwindani km nyati na simba porini.
 
Samia anafanya kitu kibaya sana tena sana. Muda ni mwalimu mzuri!
 
Polisi wana taarifa za kiintelijensia na bado mtatafutwa wote mpaka mpatikane si umemsikia kamanda wa polisi katika press. Hao wakina Mwambuzi na mdude wanatumwa tu serikali inataka wale waliojificha nyuma yao.
Hilo jeshi la polisi analogia linalosubiri kutumwa na viongozi CCM wana intelligence gani? Hilo jeshi bado sana, wao hutumia nguvu tu na akili kidogo sana.
 
Muda mnaotumia kuwapigania ambao hawajawatuma mngetumia kwa mambo yenu, ndo yale yale ya unakufa unaacha watoto wanateseka kisa siasa
Kwani hao wanaokufa kwenye ajali huwa watoto wao wanaishi kwa raha? Je umewahi kuona watu wanaacha kusafiri kisa wanaweza kupata ajali? Kufa ni lazima, kuishi majaliwa boss. Hivyo acha kufundisha wanaume uoga.
 
Tunaishi kwa aman sasa akitokea panya mmoja na kutaka kuhalibu aman azibitiwe tafadhali
🤣 Amani kweli ipo mkuu, ila sidhani kama watu wanafurahishwa na hii Amani ya wezi na mafisadi kula bila kusaza ilihali wananchi wanapuuzwa na kuteswa na umaskini uliokithiri.
 
Dah!!

Hata mkoloni hakuwa na upumbavu kiasi hiki aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…