Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Mwaka 2020 nilikamata masanduku manne ya kura bandia za Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..kwa uchaguzi uliotokea 2020 kuna tofauti gani kati ya aliyeshiriki na aliyesusa?

..sote tumejifunza kwa hiyo kama WAZALENDO kutengeneza mfumo wa uchaguzi utakaotoa haki sawa kwa vyama vyote.
Kungekuwa walau na hivyo vyama serious!, Wenyeviti wa vyama ndio mawakala wa CCMπŸ˜….
 
Kungekuwa walau na hivyo vyama serious!, Wenyeviti wa vyama ndio mawakala wa CCMπŸ˜….

..mfumo mbaya ndio unaozalisha vyama bandia / mawakala wa ccm.

..tukiweka mifumo mizuri inayoruhusu ushindani wa haki tuta-attract watu serious ktk siasa watakaounda vyama madhubuti.
 
Pombe mbaya sana, mtu akilewa anaongea chochote
 

..kupeleka miswada bungeni ni reforms, sio reconciliation.

..lakini baada ya wadau kuisoma miswada hiyo wamebaini kwamba ina mapungufu mengi.
 
..kupeleka misaada bungeni ni reforms, sio reconciliation.

..lakini baada ya wadau kuisoma miswada hiyo wamebaini kwamba ina mapungufu mengi.
Hakuna sehemu nimesema kupelekwa kwa misaada bungeni. Misaada gani sasa wabunge wanataka?
Nimeongelea uundwaji wa sheria hizi mpya ni hatua baada ya reconciliation. Huwezi ukafanya reforms pasipo kuwa na maridhiano.
 
Wewe ni juha.
Ndio maana zaidi ya miaka 60 ya uhuru hadi leo hii hakuna jambo lolote la msingi lililofanyika kutokana na "hicho kijidaftari kinachoitwa katiba" kuwa "kijidaftari".
Kuna mambo ya msingi zaidi ya hicho kijidaftari kinachoitwa katiba
 
Ku
vyama vilidhirikishwa Kwan uongo
Hivi ninyi pro "mambuzi" huwa mna umakini kwenye nini hasa!!??
Kuandika "vilidhirikishwa" kunaonyesha jinsi usivyo makini kwa kile ukifanyacho, ndio maana tupo hapa tulipo, nchi kuongozwa na watu wasio na uwezo na wasio makini.
 
Ku

Hivi ninyi pro "mambuzi" huwa mna umakini kwenye nini hasa!!??
Kuandika "vilidhirikishwa" kunaonyesha jinsi usivyo makini kwa kile ukifanyacho, ndio maana tupo hapa tulipo, nchi kuongozwa na watu wasio na uwezo na wasio makini.
iyo ku apo juu inafanya nn kama kweli wew uko makini, eti Nyumbu residentura πŸ’

kwahiyo ukizira au ukisusa tukusaidiaje? sie twasonga bila mbambamba ndrugu zangu Nyumbu πŸ’
 
Alternative ni machafuko au mapinduzi ya kijeshi. Lakini kuendele kushiriki chaguzi zinazosimamiwa na tume ya rais ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Labda Jeshi la inzi utakaliongoza wewe πŸ˜…

Tafadhali sana kua na nidhamu na heshima kwa majeshi tiifu ya ulinzi na usalama ya Tz na tena yenye weledi na uadilifu wa hali ya juu sana sio tu Tanzania bali ulimwenguni pote πŸ’
 
Kama ni kubadalika basi ccm wanapaswa sana kubadilika, kama Bado mnakimbiza mwenge ambao hata kizazi hiki hakioni maana yake, unaweza kugeuka mshauri wa watu kubadilika?!
ndio maana after 10yrs CCM kuna chairman mpya πŸ’πŸ˜…
 
kweli ndezi ni wengi....
Ukisusa means umekata tamaa na hiyo ni ujinga in politics πŸ˜…
 
Daah Yule Jamaa alitenda mambo yasiyofaa ktk jamii za Kibinadam
 
Si "iyo", bali ni "hiyo".
"nn" ni kitu gani!!?
"wew" !!!???
"ndrugu"!!!???

Wewe unahitaji "EWAWA" au "MEMKWA".
iyo ku apo juu inafanya nn kama kweli wew uko makini, eti Nyumbu residentura πŸ’

kwahiyo ukizira au ukisusa tukusaidiaje? sie twasonga bila mbambamba ndrugu zangu Nyumbu πŸ’
 
Si "iyo", bali ni "hiyo".
"nn" ni kitu gani!!?
"wew" !!!???
"ndrugu"!!!???

Wewe unahitaji "EWAWA" au "MEMKWA".
hakuna haja ya kujitambulisha kisela kwamba wewe ni mwalimu mustaafu wa UPE wa kiswahili na kuacha kujadili hoja ya msingi πŸ’
 
Hakuna sehemu nimesema kupelekwa kwa misaada bungeni. Misaada gani sasa wabunge wanataka?
Nimeongelea uundwaji wa sheria hizi mpya ni hatua baada ya reconciliation. Huwezi ukafanya reforms pasipo kuwa na maridhiano.

..samahani.

..nilimaanisha miswada.

..ile ni reforms, sio reconciliation.

..reconciliation ina taratibu na utamaduni wake na mojawapo ni uundwaji wa Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano.
 

Unakosea. Salim Mwalimu ndio nani CHADEMA?. Huyo ni sympasither wa Samiah. Nani hajui?. Acha kutaja majina ya watu na kuyafanya ndio imani ya CHADEMA.
 
Unakosea. Salim Mwalimu ndio nani CHADEMA?. Huyo ni sympasither wa Samiah. Nani hajui?. Acha kutaja majina ya watu na kuyafanya ndio imani ya CHADEMA.
CHADEMA NI F.A. MBOWE full stop πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…