Wakili Mwabukusi ni Mchanganyiko wa Mdude + Lissu. Je Alikuwa Wapi Wakati wa Hayati Magufuli?

Wakili Mwabukusi ni Mchanganyiko wa Mdude + Lissu. Je Alikuwa Wapi Wakati wa Hayati Magufuli?

Rasilimali za Tanganyika zimetolewa bure kwa mwarabu milele, hii ndio sababu inayomfanya Adv. Mwabukusi na wengine kina Dr. Nshalla kujitokeza hadharani kupinga uovu huu usiokuwa na kifani kwa mtanganyika, ukiuliza alikuwa wapi wakati wa Magufuli, ikiwa umeshasema Mwabukusi ndie man of the moment, hapo naona umeshapata jibu la swali lako.
Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Bwawa la Nyerere,walipews waarabu,hakusema kitu,alikuwa anamuogopa Magufuli.
 
We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.

Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
Kwamba dhalimu hakuwa mwanasiasa, au baada ya kuona haziwezi siasa na siasa hazimtaki, ndio akasema yeye sio mwanasiasa?

Hata hivyo dhalimu hakuwa na historia ya kupambania raslimali za taifa, kwani alisubiri hadi awe rais ndio aanze kupambania raslimali za taifa. Ina maana asingekuwa rais asingekaa apambane raslimali za taifa.
 
Endeleeni kumpa kichwa nyie mmetulia na familia zenu mwenzenu ananyea debe saahizi.
 
Tafuta clip ya Magu akiizungumzia Bandari ya bagamoyo alafu uje tena
✍️
Najuwa Magufuli hakupenda Bagamoyo Port na alitoa pumba nyingi tu. Lakini pia Magufuli alikuwa na UHAYAWANI wake kama kulidhibiti Bunge, Kuitisha Mahakama, kuvibana vyombo vya habari na kuua wakosoaji kama kina Ben Saanane au kumjeruhi Tundu Lissu.

Sasa huyu Mwabukusi alikuwa wapi hayo yakitendeka?
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
huyu ni mbwa kunguru tu, na ni mpumbavu kwasababu anashindwa kutofautish Urais na mtu. Ni mshamba tu anayetafuta umaarufu wa kipuuzi.
 
Safari ya 2025 kuelekea mjengoni wataibuka wengi tu, yeye kajichagulia hili ndiyo limuweke kwenye ramani. Anajua kuchanga karata zake vizuri.
 
Utendaji wa jpm uliathiri opinions za watu wengi kumuhusu licha ya mengi wanayoyajua kuhusu yeye(negative side) kutokana na exposure walizonazo kuhusu mambo yanavyoenda nchini. Ndio maana hata humu jf kuna watu wana academic qualification kubwa kama madokta n.k lakini wanamkubali. Nadhani alikuwa miongoni mwao. Kuna mahali nimesoma akim regard jpm kama mzalendo.
 
Kwani mwambukusu amekosea wapi?rais siyo mzanzibar?au mzanzibari hauzi mali ya tanganyika?vyote alivyoongea ni ukweli kabisa
 
Swali lako sijajua linataka nini kilichotokea sasa ni ufafanuzi wa kisheria kuhusu mkataba wa TZ GOv na DPW
✍️
Kusoma ni kitu kimoja, na kuelewa ni kutu kingine. Rudi usome kwa utulivu utaelewa maana yangu
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Hata mimi nimewaza sana mbona
GHAFLA SANA?
Huyu mwamba muda wote alikuwa wapi?
Ameibuka ghafla kama Masumbuko Lamwai😂😂😂
 
huyu ni mbwa kunguru tu, na ni mpumbavu kwasababu anashindwa kutofautish Urais na mtu. Ni mshamba tu anayetafuta umaarufu wa kipuuzi.
Sasa wewe unayesoma na kujibizana na mbwa utakuwa ni mnyama gani? Basi na wewe ni mbwa tu ndiyo maana unaelewa lugha ya mbwa na kunguru
 
Kwani mwambukusu amekosea wapi?rais siyo mzanzibar?au mzanzibari hauzi mali ya tanganyika?vyote alivyoongea ni ukweli kabisa
Hapo ndiyo mnakosea mnapoongeza chumvi. Hakuna mali ya Tanzania iliyouzwa
 
Back
Top Bottom