Wakili Mwabukusi ni Mchanganyiko wa Mdude + Lissu. Je Alikuwa Wapi Wakati wa Hayati Magufuli?

Wakili Mwabukusi ni Mchanganyiko wa Mdude + Lissu. Je Alikuwa Wapi Wakati wa Hayati Magufuli?

Angetishiwa kuuwawa na wangemuuwa kweli.

SI UNAJUA YULE JAMAA ALIKUWA NI SIMBA WA YUDA.
Naona Mungu alimtunza kama Musa alivyofichwa enzi za Farao muuaji watoto wa kiume ili aje kuwaokoa Israel.

Mwambukusi alifichwa enzi za Jiwe ili atuvushe kwenye hili la Bandari
 
Mandonga kipindi Cha Rashid Matumla alikua wapi Joji Mpole kipindi Cha Mrisho Ngassa alikua wapi Ahmed Ali kipindi Cha Haji Manara alikua wapi? Rubbish questions
🚮
Majibu yake;
Kila jambo na MAJIRA YAKE.
kabla ya giza/kiza taa hainaga umuhimu
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Thubutu, dikteta alikuwa anataka mchezo na mtu? Mawaziri wake kawatolea bastola hadharani.

Mmeshasahau?
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Magufuli hakuwa dalali wa mali za taifa ndio maana Mwambukusi alikuwa kimya
 
Naona Mungu alimtunza kama Musa alivyofichwa enzi za Farao muuaji watoto wa kiume ili aje kuwaokoa Israel.

Mwambukusi alifichwa enzi za Jiwe ili atuvushe kwenye hili la Bandari
Ok kwa hiyo ndo keshawavusha sasa!
 
We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.

Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
Hapa JF, hata ulete swali la namna gani, hukosi jibu la kukufikirisha na kukuchangamsha akili!
Naweza kusema, karibu ni sawa na mwalimu na wanafunzi wake darasani.

Mwalimu mzuri anayewapa fursa wanafunzi wake watumie akili zao kutafuta jibu la tatizo lililo mbele yao, hakosi kupata aina fulani ya jibu lililo karibu sana na utatuzi wa jambo husika.

Mkuu 'Sheiza', ningekuwa ni Profesa wako, huu mtihani ungeambulia alama ya A, bila ya maneno mengine yoyote.

Niseme hapa, katika jambo hili la mali za Tanganyika, na mwelekeo mzima wa anayoyafanya Samia, ni kinyume kabisa na yale aliyokuwa akiyapigania Magufuli.

Ingetokea leo hii akarudi hata kwa saa moja na kushuhudia anayofanya aliyekuwa msaidizi wake wa karibu, sina shaka kabisa, kati ya Samia na wakili; mMagufuli angemteua wakili kuwa msaidizi wake na kumsweka ndani Samia, tena akitoa kelele nyingi sana juu ya huyu mama.
 
Bwawa la Nyerere,walipews waarabu,hakusema kitu,alikuwa anamuogopa Magufuli.
Haya sasa, watu wajionee wenyewe jinsi uelewa wa wachangiaji mbalimbali ni tofauti kabisa juu ya jambo hilo hilo.
Huyu mkuu yeye kashikilia "uarabu", ndio msingi wa uelewa wake wa swala zima la bandari!
Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na alikuwa kimya ,wakati wa Magufuli.
Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.

Kwa hiyo uelewa wa huyu unaishia hapo kwa "waarabu" basi!
 
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.

Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba

Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
UTUKUFU KWA MUNGU JUU NA AMANI DUNIANI KWA WATU WENYE MAPENZI MEMA.
 
Hapa JF, hata ulete swali la namna gani, hukosi jibu la kukufikirisha na kukuchangamsha akili!
Naweza kusema, karibu ni sawa na mwalimu na wanafunzi wake darasani.

Mwalimu mzuri anayewapa fursa wanafunzi wake watumie akili zao kutafuta jibu la tatizo lililo mbele yao, hakosi kupata aina fulani ya jibu lililo karibu sana na utatuzi wa jambo husika.

Mkuu 'Sheiza', ningekuwa ni Profesa wako, huu mtihani ungeambulia alama ya A, bila ya maneno mengine yoyote.

Niseme hapa, katika jambo hili la mali za Tanganyika, na mwelekeo mzima wa anayoyafanya Samia, ni kinyume kabisa na yale aliyokuwa akiyapigania Magufuli.

Ingetokea leo hii akarudi hata kwa saa moja na kushuhudia anayofanya aliyekuwa msaidizi wake wa karibu, sina shaka kabisa, kati ya Samia na wakili; mMagufuli angemteua wakili kuwa msaidizi wake na kumsweka ndani Samia, tena akitoa kelele nyingi sana juu ya huyu mama.
Kama Magufuli angefufuka tungemuuliza kaburi la Ben Saanane liko wapi???
 
We unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.

Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
Watu wengi hawaelewi hili hadi Sa100 mwenyewe. Serikali inapata taabu kuzima huu mjadala sababu hawapambani na vyama vya upinzani tu.
 
Back
Top Bottom