Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Hapana. Lazima vyama vya upinzani viingie kwenye uchaguzi ili kupata nguvu ya kupambana na chama tawala. Mawazo na msimamo wa adv. Mwabukusi ni sahihi, lakini, si sahihi sana kwa wakati huu. Mapambano katika uwanja ya vita lazima kubadili mbinu za medani mara kwa mara kutokana na wakati na mazingira.
Nashauri vyama vya upinzani, ... Njoo vijijini kama Chadema walivyofanya huko kanda ya ziwa, Rukwa na kwingineko. Waelimisheni Watanzania juu ya hali yao na wanavyostahili kuwa. Wataelewa. Na baada ya hapo ingieni kwenye uchaguzi huku mkiimarisha usimamizi wa zoezi au mchakato mzima wa kura. Nendeni wilayani Nkasi mkajifunze Wananchi walifanyaje hadi Serikali na Chama tawala wakasalimu amri mwaka 2020 hata mwanamke, tena binti mdogo tuu Aidah Kenani akamgaragaza kwa aibu aliyekuwa mbunge machachari na maarufu Ally Kessy Mohamed. Inawezekana.
Kimsingi, Wananchi walikwishaichoka CCM na Serikali yake. Wanataka mabadiliko. Lakini, ni nani atakayewaongoza kuleta mabadiliko hayo? Ni Chama gani? Hawa hawa wachumia-tumbo Chadema, ACT, TLP, and the like?!
Anyway, vyama vya upinzani hamjachelewa bado, ingieni vijijini, "mwageni sumu" kwa Wananchi; wataelewa na kukisubiri CCM kwenye sanduku la kura.
Mwabheja sana!
 
Ni kweli anachosema Adv. Mwabukusi, siasa zetu kwa kiasi kikubwa zimegeuzwa kuwa ajira, na wala sio kuwatumikia wananchi kama walivyozoea kutudanganya.

Ndio maana unawaona wale wanawake 19 bado wako bungeni mpaka leo bila aibu yoyote, wanakula bure kodi za watanganyika, huku ajabu wakiwa bungeni nao wanajidai kulaani upotevu wa fedha serikalini, wao hawajioni!..

Huku wengine nao wameshasahau kama msimamo wa chama chao ni kutoshiriki uchaguzi, mpaka Katiba Mpya ipatikane, wao wameshaanza kusema watahakikisha wanawaondoa wabunge wa CCM majimboni mwao, hii kauli ni sawa na tusi kwa mtu mwenye spirit ya Adv. Mwabukusi.

Wapiga kura tunageuzwa mtaji wa wanasiasa bila kujua, sometime tuna siasa za kisanii sana, kupitisha muda wao wale na familia zao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hivi hao 19 wamejipeleka hapo bungeni.

Mwabukusi anaendesha gari kwa gia ya reverse bila shaka atatumbukia mtaroni au kupata ajali ya kujitakia.
 
Nasema hivi hakuna sifa yoyote ya kuungana wapinzani ili kupewa nafasi za hisani. Kama ushindani wa sera ndio ungekuwa unatoka mshindi hapa kwetu, Leo hii ccm isingekuwa madarakani, na hata kama ingekuwa isingekuwa na uwezo kufanya maamuzi itakavyo. Hilo neno sera mnalitumia kama fashion, lakini ccm haiko madarakani kutokana na sera, Bali sababu za kihistoria, na hasa hasa katiba mbovu ya chama kimoja.

Hizi chaguzi za kihayawani unazoziona, ni ili kuhakikisha ccm inaendelea kukaa madarakani huku kizazi kikiwa kimeichoka. Huo usanii kuwa mko madarakani kwa ajili ya sera, kawaambieni wale wajinga mnaowasomba kwenye malori. Zama za ccm kuendelea kukaa madarakani zilishapita na kizazi chake. Hivyo hizo chaguzi mnazolazimisha kukaa madarakani, fanyeni/shirikini na wenye huo mda mchafu. Na ukitaka kuamini hiki si kizazi Cha ccm, subiri uone idadi ndogo ya wapiga kira watakaojitokeza, kama ishara kuwa hamkubaliki na kizazi hiki tena.
Ndio!!
CCM ni chama cha kihistoria tena historia iliyotukuka...

Na hata Chadema mnayo Historia inawayowatambulisha vizuri sana katika Jamii,
Mathalani kuwa na Mwenyekiti wa chama wa Maisha.

Lakini pia mna historia ya kutukana mno na mihemko kwa sana tu,

Mna historia ya sususia mambo mbalimbali kama vile chaguzi, baadhi ya mitandao ya simu na kadhalika, vitu ambavyo havijawahi kuwasaidia chochote Zaidi ya kuwaharibu na kudidimiza Zaidi.

Na kwasasa Chadema imevamiwa mathalani na mtu kama wewe, kutwa uchwao kulalamamika na kulaumu mara dipi weldi, mara tume ya uchaguzi, mara katiba mpya vitu ambavyo viko kwenye mipango na rada za serikli na itashughulika navyo kwa wakati wake kadiri itakavyona inafaa.

Nje ya hapo no consultation, no mobilization and engagements na wanachama uchaguzi unafika unashindwa then unakuja tena kulalamika unadai kuibiwa 😜

My friend,
Politics is science
Ukija kichwa kichwa unaliwa kichwa vizuri tu na kulaumu mpaka siku ya Mwisho....
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Mwabukusi ana hoja ni vyema asikilizwe.
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Si akaanzishe chama chake
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Anaongea ukweli
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv

Anataka Nini?. Mbona haishiriki chaguzi zozote?. Mwisho wa siku ataichukua kadi ya CCM maana janja yake imejulikana.
 
Namshauri aanzishe chama chake kuliko kila siku kulaumu wapinzani hasa akiilenga Chadema. Kama wapinzani wote wakisusia uchaguzi maana yake automatically nchi itakuwa imerudi kuwa ya chama kimoja na vyama vyote vitakosa kabisa platform ya kufanyia siasa na hili ndilo lengo la CCM. Heri kenda shika kuliko kumi nenda uje.
 
Kwa majira haya Lissu hakupaswa kuwa CHADEMA
Mbowe hana nia ya dhati kwasasa kuinua upinzani.

Bora hata Lema alimchana kuwa asiwaamini ccm
Vyama vya Upinzani vilivyosajiliwa vipo 19 kama sijakosea, WHY Chadema????

Ninachokiona hapa yeye (Mwabukusi) ndiye mwenye tamaa. Mnapokuwa vitani kwanini uanze kuwashambulia wenzako badala ya adui?? Yeye (Mwabukusi) ndiye anaetumiwa na wapenda madaraka wa CCM kuwashambulia Wapizani.

Chama Makini kama Chadema hakiwezi kuweka rehani maisha ya Watz kisa madaraka. Siku ikiwadia Watz wakaamua wenyewe kuyaweka maisha yao rehani kwa Ukombozi wa Nchi Yao sawa, hapo Chadema watakuwa tayari kuwaunga mkono.

Kingine ni kwamba siku Watz watakapoacha UNAFIKI basi wataweza kuwapata Viongozi wenye Mapinduzi ya FIKRA watakao waongoza kwenye Ukombozi wa kweli wa Nchi yao.
 
Ni kweli anachosema Adv. Mwabukusi, siasa zetu kwa kiasi kikubwa zimegeuzwa kuwa ajira, na wala sio kuwatumikia wananchi kama walivyozoea kutudanganya.

Ndio maana unawaona wale wanawake 19 bado wako bungeni mpaka leo bila aibu yoyote, wanakula bure kodi za watanganyika, huku ajabu wakiwa bungeni nao wanajidai kulaani upotevu wa fedha serikalini, wao hawajioni!..

Huku wengine nao wameshasahau kama msimamo wa chama chao ni kutoshiriki uchaguzi, mpaka Katiba Mpya ipatikane, wao wameshaanza kusema watahakikisha wanawaondoa wabunge wa CCM majimboni mwao, hii kauli ni sawa na tusi kwa mtu mwenye spirit ya Adv. Mwabukusi.

Wapiga kura tunageuzwa mtaji wa wanasiasa bila kujua, sometime tuna siasa za kisanii sana, za kupitisha muda wao wale na familia zao, kwa wale walioupata utajiri kupitia siasa, kamwe hawawezi kuuacha uchaguzi upite mpaka waisubiri ipatikane Katiba Mpya.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Yeye mwenyewe mwabukuzi ameona upinzani ulivyo mgumu, kashindwa kufanya maanadamano. Nadhani anapanic kwa ugumu uliopo.
 
Vyama vya Upinzani vilivyosajiliwa vipo 19 kama sijakosea, WHY Chadema????

Ninachokiona hapa yeye ndiye mwenye tamaa. Mnapokuwa vitani kwanini uanze kuwashambulia wenzako badala ya adui?? Yeye ndiye anaetumiwa na wapenda madaraka wa CCM kuwashambulia Wapizani.

Chama Makini kama Chadema hakuwezi kuweka rehani maisha ya Watz kisa madaraka. Siku ikiwadia Watz wakaamua wenyewe kuyaweka maisha yao rehani kwa Ukombozi wa Nchi Yao sawa, hapo Chadema watakuwa tayari kuwaunga mkono.

Kingine ni kwamba siku Watz watakapoacha UNAFIKI basi wataweza kuwapata Viongozi wenye Mapinduzi ya FIKRA watakao waongoza kwenye Ukombozi wa kweli wa Nchi yao.
Anataka vyama vya siasa vifuate matakwa yake yeye.

Ndoto yake ya kisiasa anaweza kupigania yeye binafsi na siyo kupitia migongo ya wengine.
 
Back
Top Bottom