Wajinga ndiyo waliwao. Tanzania kumejaa wajinga tena mbaya zaidi wapo serikalini na vyeo vyao na maposho wanakula hadi wamevimbiana na wanashangilia hata Kama nchi inatumbukia kuzimunj.So sad Tanzania [emoji24]...tupo mahakamani kufanya kazi waliyoshindwa Wabunge,Mali za Tanganyika zimehatarishwa.!![emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app