Wakili Mwakabusi atoa wito kwa Spika wa Bunge na Mbarawa wajiuzulu kutokana na mkataba wa DPW

Wangwe Jr atafika mbali sana! Mwakabusi ni Fire amepiga kwenye Mshono.

Heche kama umezuiliwa Star Tv basi fanya streaming tumia social media uweke madini hata Youtube.
 
Hii sheria yako ulisomea wapi?
 
Na hili suala Mkuu watu wanalichukulia kimzaha lkn yaweza kuwa cheche au njiti ya kiberiti itakayokuja kuiteketeza msitu. Wacha waendelee kuziba masikio yao.
 
Na hili suala Mkuu watu wanalichukulia kimzaha lkn yaweza kuwa cheche au njiti ya kiberiti itakayokuja kuiteketeza msitu. Wacha waendelee kuziba masikio yao.

Walisema mdharau mwiba ..
 
Hixi ndio zake👇👇
 

Attachments

  • AD0F21E4-480F-4A17-8D5E-526D81B5B03F.jpeg
    94.3 KB · Views: 2
Hii kitu inatakiwa Emarate ishitakiwe kwa kuharibu umoja wetu watanzania... pumbavu sana madevu wa Dubai
 
Ni kawaida ya watanzania kuuliza badala kwa kujibu kwa hoja.

Ila ni kawaida ya wana wa nchi ipi kujifanya majaji na kubariki hukumu ba mahitimishi yao hata kwenye wasiyoyajua badala ya kujibu kwa hoja?
 
Ila ni kawaida ya wana wa nchi ipi kujifanya majaji na kubariki hukumu ba mahitimishi yao hata kwenye wasiyoyajua badala ya kujibu kwa hoja?
Mkuu kuna principles za sheria "you can't be a judge in your own case" unaipinga hiyo ? Nchi za Africa zote ukiondoa chache mhimili wa mahakama hauko independent uko entangled na executive, sio kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…