Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kwenye mkataba wa bandari ni kipi cha maana walichofanya dr slaa na mwakubusi zaidi ya kupiga makelele kama wengine acha upotoshajiHayo maswali kuhusu kuundwa kwa Chama ni mazuri Ukiwauliza Daktari Slaa au Mwabukusi.
Ukija kwenye agenda, naona unachanganya mambo, unataka kuminimise. manake Ukisema agenda yao ya Kutafuta haki kwa Wamasai ndugu zetu na kulinda Rasilimali(Bandari) sio za maana, ina maana hata ile 255 okoa Bandari sio ya maana. Nafikiri suala lipo wazi, DK Slaa na Mwabukusi wapo zaidi kuumulika Mkataba wa Bandari. Hao wengine wapo wanafanya Jogging na wengine kwenye Maridhiano. Yani wapo hawapo.
Ntajia mambo ya maana waliyoyafanya dr slaa na mwakubusi kwenye mkataba wa bandari