Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

Kina Kibatala na ule msimamo wao wa kutaka Adv. Mwabukusi arudishwe kugombea, lakini kusema wazi hawatampigia kura ulikuwa ni mpango mbovu.

Kama kura ni siri sikuona sababu kwanini watangaze machaguo yao hadharani, ile ilikuwa ni sawa na kuwafanyia kampeni wagombea wao kwa kivuli cha kutetea haki ya Adv. Mwabukusi, kwangu naona walikosea pakubwa.

Nasema walikosea pakubwa kwasababu kwa hiyo misimamo yao walijigeuza kuwa vibaraka wa watawala bila wao wenyewe kujua.

Hii pia inaweza kuwa ndio sababu ya Adv. Mwabukusi kushinda kesi yake ijumaa, kwasababu watawala walijua kumbe Adv. Mwabukusi hakubaliki miongoni mwa wapiga kura kama walivyokuwa wakihofia.
Adv. @PKibatala, @AdvMahinyila, @Ntobi_, #Mtikila. The Legend at The Marz with DJ John Dilinger Matlou, Mikocheni.


We had a fantastic time yesterday. Spending quality time with good friends is the sole form of therapy. We came to a unanimous decision to support Mwabukusi.
 
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja

Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni mmoja wao

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kuna kapeni kubwa ndani na nje ya chama hicho ili Mwambukusi ashindwe kwenye boksi la kura kwenye uchaguzi huo

Lengo ni kuhakikisha kuwa wakili huyo msomi, machachari na mwenye msimamo mkali usiyoyumba kwa Serikali hashindi kwenye uchaguzi huo na kuingoza taasisi hiyo huru ya wanasheria nchini

Ikumbukwe kuwa awali wakili Mwambukusi alienguliwa na kamati ya uchaguzi ya TLS kugombea nafasi hiyo lakini alikwenda kufungua kesi mahakama kuu kupinga kuenguliwa kwake kugombea urais wa chama hicho

Katika kesi hiyo Mwambukusi alifanikiwa kushinda na mahakama kuamuru arejeshwe kuwa mmoja wa wagombea wa nafasi ya urais wa TLS

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo

Inadai kwamba baada ya Mwambukusi kushinda kesi yake ya kuenguliwa kugombea uongozi TLS alikuwa akitoa maneno na kauli za kukiponda chama hicho kuwa hakijitambui na kimeshindwa kutimiza na kusimamia majukumu yake ya msingi na muhimu ambayo ni kuwatetea wananchi na kupinga uonevu na ukandamizaji nchini

Comasava
Kwahiyo watamkwamisha kwa kueleza ukweli?
Nilitegemea mchawi akabidhiwe mwana ili tuone uwezo wake,sasa kama wanataka asiwe mwenyekiti wao basi wanaogopa asi wa-prove wrong
 
Bwashee ni mwaka mmoja tu. Akishinda kama ilivyo kwa tulia akson raisi wa CPU

Hii miamba miwili itakutana pale Jimbo la Mbeya mjini kwenye ubunge

Mmoja ni raisi wa CPU mwingine ni raisi wa TLS
Mkuu ni miaka mitatu. Mmoja ilikuwa kabla
 
huyu mwamba akishinda TLS itakuwa ni kama ameshinda urais wa JMT...kwa jinsi alivyo jasiri na kujiamini na anavyotetea wanyonge huko nje..ni balaa sana huyu
 
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja

Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni mmoja wao

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kuna kapeni kubwa ndani na nje ya chama hicho ili Mwambukusi ashindwe kwenye boksi la kura kwenye uchaguzi huo

Lengo ni kuhakikisha kuwa wakili huyo msomi, machachari na mwenye msimamo mkali usiyoyumba kwa Serikali hashindi kwenye uchaguzi huo na kuingoza taasisi hiyo huru ya wanasheria nchini

Ikumbukwe kuwa awali wakili Mwambukusi alienguliwa na kamati ya uchaguzi ya TLS kugombea nafasi hiyo lakini alikwenda kufungua kesi mahakama kuu kupinga kuenguliwa kwake kugombea urais wa chama hicho

Katika kesi hiyo Mwambukusi alifanikiwa kushinda na mahakama kuamuru arejeshwe kuwa mmoja wa wagombea wa nafasi ya urais wa TLS

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo

Inadai kwamba baada ya Mwambukusi kushinda kesi yake ya kuenguliwa kugombea uongozi TLS alikuwa akitoa maneno na kauli za kukiponda chama hicho kuwa hakijitambui na kimeshindwa kutimiza na kusimamia majukumu yake ya msingi na muhimu ambayo ni kuwatetea wananchi na kupinga uonevu na ukandamizaji nchini

Comasava


Wakili Boniface Mwabukusi akijibu maswali ya Chief Odemba wakati wa mdahalo kuelekea uchaguzi wa rais wa TLS, ambayo umepangwa kufanyika siku ya Jumanne...


View: https://m.youtube.com/watch?v=4UAp9ZZS_WU
 
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja

Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni mmoja wao

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kuna kapeni kubwa ndani na nje ya chama hicho ili Mwambukusi ashindwe kwenye boksi la kura kwenye uchaguzi huo

Lengo ni kuhakikisha kuwa wakili huyo msomi, machachari na mwenye msimamo mkali usiyoyumba kwa Serikali hashindi kwenye uchaguzi huo na kuingoza taasisi hiyo huru ya wanasheria nchini

Ikumbukwe kuwa awali wakili Mwambukusi alienguliwa na kamati ya uchaguzi ya TLS kugombea nafasi hiyo lakini alikwenda kufungua kesi mahakama kuu kupinga kuenguliwa kwake kugombea urais wa chama hicho

Katika kesi hiyo Mwambukusi alifanikiwa kushinda na mahakama kuamuru arejeshwe kuwa mmoja wa wagombea wa nafasi ya urais wa TLS

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo

Inadai kwamba baada ya Mwambukusi kushinda kesi yake ya kuenguliwa kugombea uongozi TLS alikuwa akitoa maneno na kauli za kukiponda chama hicho kuwa hakijitambui na kimeshindwa kutimiza na kusimamia majukumu yake ya msingi na muhimu ambayo ni kuwatetea wananchi na kupinga uonevu na ukandamizaji nchini

Comasava
Mawakili wengi sana walighairi kwenda Dodoma baada ya Mwambakusi kukatwa... kurejeshwa kwake ni shangwe na sasa inatosha kusema...tukutane Dodoma!
 
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja

Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni mmoja wao

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kuna kapeni kubwa ndani na nje ya chama hicho ili Mwambukusi ashindwe kwenye boksi la kura kwenye uchaguzi huo

Lengo ni kuhakikisha kuwa wakili huyo msomi, machachari na mwenye msimamo mkali usiyoyumba kwa Serikali hashindi kwenye uchaguzi huo na kuingoza taasisi hiyo huru ya wanasheria nchini

Ikumbukwe kuwa awali wakili Mwambukusi alienguliwa na kamati ya uchaguzi ya TLS kugombea nafasi hiyo lakini alikwenda kufungua kesi mahakama kuu kupinga kuenguliwa kwake kugombea urais wa chama hicho

Katika kesi hiyo Mwambukusi alifanikiwa kushinda na mahakama kuamuru arejeshwe kuwa mmoja wa wagombea wa nafasi ya urais wa TLS

Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo

Inadai kwamba baada ya Mwambukusi kushinda kesi yake ya kuenguliwa kugombea uongozi TLS alikuwa akitoa maneno na kauli za kukiponda chama hicho kuwa hakijitambui na kimeshindwa kutimiza na kusimamia majukumu yake ya msingi na muhimu ambayo ni kuwatetea wananchi na kupinga uonevu na ukandamizaji nchini

Comasava
Sava bien et toi
 
Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo
Sasa kama ni Chama cha Mawakili na umesema wengi wamepanga asishinde huoni kwamba kwa maneno machache umesema kwamba mawakili wengi hawataki ashinde hivyo wana haki ya kutokuongozwa na mtu wasiomtaka ?

Bora ungesema mawakili wanamtaka ila watu wa nje ndio wanamzibia cha muhimu uchaguzi huwe wa haki na atakayeshinda na ashinde..., hakuna mwenye hati miliki ya ushindi
 
Sasa kama ni Chama cha Mawakili na umesema wengi wamepanga asishinde huoni kwamba kwa maneno machache umesema kwamba mawakili wengi hawataki ashinde hivyo wana haki ya kutokuongozwa na mtu wasiomtaka ?

Bora ungesema mawakili wanamtaka ila watu wa nje ndio wanamzibia cha muhimu uchaguzi huwe wa haki na atakayeshinda na ashinde..., hakuna mwenye hati miliki ya ushindi
Pamoja na watu wa nje kutomtaka kutokana na misimamo yake lakini pia kuna baadhi ya mawakili ambao ndio wapiga kura hawataki Mwambukusi ashinde hivyi wajipange kutomigia kura na kushawishi wenzao wengine wafanye hivyo
 
Pamoja na watu wa nje kutomtaka kutokana na misimamo yake lakini pia kuna baadhi ya mawakili ambao ndio wapiga kura hawataki Mwambukusi ashinde hivyi wajipange kutomigia kura na kushawishi wenzao wengine wafanye hivyo
Ila kama hawa ni wengi si ndio Demokrasia yenyewe ? Au wameshawishiwa kwa Mlungula and if that is the case hata Taasisi yenyewe itakuwa haina legitimacy....
 
Back
Top Bottom