- Thread starter
- #81
Itakuwa hatari tupu ubaya ubwela hapo kwa MwambukusiMsimamizi wa uchaguzi apewe Nape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa hatari tupu ubaya ubwela hapo kwa MwambukusiMsimamizi wa uchaguzi apewe Nape
hizo akili za nape zinatosha kulimia bustani hapo busagala na siyo ubunge na uwaziri,muda Huwa unapotezwa sanaKwani Nape hayupo hadi mseme atashinda?
Itoshe tu kusema zinaingiliwa kinyume na matakwa yao nazo zinatepeta (zinakubaliana na hali hiyo)Taasisi nyingi zilizokuwa independent, currently zimekuwa pro government kiasi kwamba haziwezi kutimiza wajibu wake mama
Kweli lengo la kila mgombea ni kushinda uchaguzi. Lakini fitina zinafanyika na watu fulani wanashindwaga unakubaliana na hilo?Acheni utoto hakuna uchaguzi unafanyika ili mtu flani asishinde
Basi atashinda, kama walipanga mipango miovu ya kumuengua na akarudishwa uwe na uhakika atashindaChama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja
Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni mmoja wao
Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kuna kapeni kubwa ndani na nje ya chama hicho ili Mwambukusi ashindwe kwenye boksi la kura kwenye uchaguzi huo
Lengo ni kuhakikisha kuwa wakili huyo msomi, machachari na mwenye msimamo mkali usiyoyumba kwa Serikali hashindi kwenye uchaguzi huo na kuingoza taasisi hiyo huru ya wanasheria nchini
Ikumbukwe kuwa awali wakili Mwambukusi alienguliwa na kamati ya uchaguzi ya TLS kugombea nafasi hiyo lakini alikwenda kufungua kesi mahakama kuu kupinga kuenguliwa kwake kugombea urais wa chama hicho
Katika kesi hiyo Mwambukusi alifanikiwa kushinda na mahakama kuamuru arejeshwe kuwa mmoja wa wagombea wa nafasi ya urais wa TLS
Mmoja wa mawakili ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kuwa mawakili wengi wamejipanga kuhakikisha kuwa Mwambukusi hashindi kwenye uchaguzi huo
Inadai kwamba baada ya Mwambukusi kushinda kesi yake ya kuenguliwa kugombea uongozi TLS alikuwa akitoa maneno na kauli za kukiponda chama hicho kuwa hakijitambui na kimeshindwa kutimiza na kusimamia majukumu yake ya msingi na muhimu ambayo ni kuwatetea wananchi na kupinga uonevu na ukandamizaji nchini
Comasava
Ni hatari sanaItoshe tu kusema zinaingiliwa kinyume na matakwa yao nazo zinatepeta (zinakubaliana na hali hiyo)
Nchi hii inaangushwa na wasomi wasiojitambuaNi hatari sana
Haki imeshinda fitinaAu sio