Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

 
we acha ujinga sisi mawakili tulio wengi tunamuuunga mkono.
ameshinda tayari hahitaji kampeni
 
Serikali ngapi zilishasalimu amri. Off course as an individual haiwezekani ila collectively nothing is impossible. Huyo huyo unayemuita mvuta bangi anawapelekesha na kuwakosesha usingizi.
Mpaka ndani kawekwa kwa alivyotikisa nchi
 
Hapa alikuwa akitumia jukwaa la CHADEMA tu kutetea maslahi ya nchi
Mwabukusi ni BAVICHA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sidhani kama mwenye akili timamu anaweza mchagua huyo ropo ropa na Mzee wa kupanic huku akiwa na Ile ego ya kinyakyusa πŸ˜†πŸ˜†

Pia soma Tahadhari: Endapo Mwabukusi Atakuwa Rais wa TLS ni Wazi Mawakili Watakuwa Wamekubali Kuburuzwa Kiharakati.
 
Tls hawajitambui na wengi ni wanasiasa.huyo mmoja alikuwa RAS na mjumbe wa ccm.wa maana namwona ni mwenda na huyo kapteni lkn hao wengine hakuna kitu bora mwambukusi ambaye ameonyesha ukomavu wa akili na msimamo
 
Tls hawajitambui na wengi ni wanasiasa.huyo mmoja alikuwa RAS na mjumbe wa ccm.wa maana namwona ni mwenda na huyo kapteni lkn hao wengine hakuna kitu bora mwambukusi ambaye ameonyesha ukomavu wa akili na msimamo
Hiyo tunaweza kusema kunya anye kuku akinya bata....
 
Ubora wa Taasisi unaanzia kujitambua kwa wanachama wake, Taasisi nyingi zimekuwa zikiongozwa badala ya kujiongoza, taaluma zimewekwa nje, ndani umebaki uchawa tu.
 
This time ndo tutawajuwa aina ya mawakili tulio nao hapa nchini. Tutatafakari kama taifa tujue hatima ya haki kwa wananchi mikononi mwa wanasheria
 
Msimamizi wa uchaguzi apewe Nape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…