Wakili Mwambukusi huenda akashidwa kwenye kura uchaguzi wa TLS

Taasisi nyingi zilizokuwa independent, currently zimekuwa pro government kiasi kwamba haziwezi kutimiza wajibu wake mama
 
Acheni utoto hakuna uchaguzi unafanyika ili mtu flani asishinde
Kweli lengo la kila mgombea ni kushinda uchaguzi. Lakini fitina zinafanyika na watu fulani wanashindwaga unakubaliana na hilo?
 
Basi atashinda, kama walipanga mipango miovu ya kumuengua na akarudishwa uwe na uhakika atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…