Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nashangaa single maza wanavotaka tuwape kipaumbele watoto waliokataliwa na baba zao yaani wanaona watoto wao kama mtaji fulani wa kuutunza kumbe ni mzigo kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kumpenda single mother anza kujifunza kulipenda ua kwanza kabla ya boga,
Hakika ukiwa na mapenzi na mwanae single mother atakupenda wewe zaidi kuliko hata huyo mwanae maana anakua na uhakika mtoto wake tayari ameshapata upendo wa baba.

Maendeleo hayana chama
 
Mimi kuna single maza nataka nianzishe nae mahusiano,naona ananipenda hatari.....
 
Huwez mtenganisha mama na mwanae..so ni Aidha uwe nae yeye na mwanae au achana nae kabisa
ni kweli ila kumlea mwanae asiweke ndio condition ya kuwa naye mimi nimempenda yeye sio mwanaye kama namlea mwanaye ni msaada tu kwani wanagpi wanarudisha watto kwa bibi zao ili waishi kwenye ndoa mpya?
 
U guys are so selfish jamaniiii!!!mnasahau pia kuna Ma single dad, kila siku ni single mama tuuu.. Why? First hukulazimishwa kudate nae!second kuna uwezekano mkubwa ata mama ako alikua single mom so stop insulting, tena siku hizi hao pure girls ndo wanasumbua sana kwenye ndoa,kuliko hata hao single mom ambao wameshaionja joto ya jiwe....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Single mother wana mapenzi ya dhati sijapata kuona! Ukimjali tu ukampenda na mtoto wake, anakuachia kila kitu. Kiufupi anageuka kuwa mtumwa kwako.

Kuna mmoja nlikuwa na mahusiano nae, aisee! Yule mdada alinifeel sana, shida ikawa anapenda sana tuoane,

Kiukweli ningemuoa ila umri alikuwa amenizidi miaka 2,

Siku moja akaniambia nakuomba sana usioe kabla mm sijaolewa coz nitaumia sana nikaona unaoa huku mm nashuhudia. Kweli haikipita muda akapata jamaa wameoana. Nami nmeshaoa, lkn lile penzi la yule mdada hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni wanataka mchebwedee hawataki kuwa wazazi wa kijana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…