naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Ha ha Mkuu hapo ni kuweka sheria tu na kuwa na msimamo thabiti na kumwambia achague kunyoa au kusuka!!kuna jamaa yeye amepanga sheria kwa mkewe issue za mtoto wawasiliane wao wanaume kwani ni mtoto wake piaSipendi mawasiliano ya single mother na baba mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app